Zawadi kwa mpenzi...

Zawadi kwa mpenzi...

Una uhakika mpenzi wale yuko na CD player?
sikia maskini mwenzangu wala usijitutumue kwa kuhangaika sanaaaaa

5000 yako ni nyingi sana and it worth more than those digits on it

Najua huyo mpenzi wako unampenda na unajua anapenda sana nyimbo gani kuimba au kusikiliza najua umeshamfumania hata akiimba kimoyo moyo badhi ya nyimbo flani flani.

Chukua hiyo hela yako nenda kanunue empty cd iliyo ndani ya cover,usinunue zile za buku wanazoweka kwenye vikaratasi nop nunua CD zilizo kwenye cover flani kama mfano huuView attachment 1267832

zinauzwa stationary kubwa bei yake utauziwa 2000 au 3000 sasa tu assume umenunua 3000 so kwenye ile 5000 utakua umebakiwa na 2000 sasa hiyo hela nenda kwa wanao burn cd mpe mlipe 2000 then chagua nyimbo tamu tamu unazopenda wewe mpenzi wako azisikie.

Najua kuna nyimbo huwa unatamani laiti ungekua mwanamuziki ungemuimbia mpz wako,sasa put those hits in your cd hakikisha ni nyimbo tamu nzuri nzuri unazozipenda wewe azisikie zenye sweet melodies na ujumbe.

Kisha chukua CD yako ifunge kwenye Bahasha nzurii ya kaki ya 200,tulia nayo akija geto usiwe na mawenge kabisa,mpe mambo after kile cha kwanza ndio mtolee zawadi yake mpe,wakati aki smile na kutamani kujua what is inside mpe cha Pili.

Mambo muki diiiiii muki deeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana JF habari za uzima

Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda sasa japo sijashiriki nae sex.

Nimemuahidi kumununulia zawadi je, ni zawadi gani ambayo ataipenda
Na isiyo na bei kubwa angalau kuanzia 5000/=

Mimi nimependelea kumununulia chupi na heleni na siku ya kumpa hizi zawadi ni ile siku ya sex

Na nimemweleza kuwa nina zawadi yake japo sijaiandaa
Mawazo yenu wadau kwa zawadi ndogo itakayo mfurahisha.
Akhirisha mipango yako ya uzinzi,ebo! Huyo ni mtoto wa mwanamme mwenzio anayekuzidi umri,mwenye matarajio mazuri ya kumuozesha mme mwema,atakaye tambuliwa nyumbani kwao. Peleka posa,umuowe. Usitangaze tena hapa mipango yako ya bakshishi ya uzinifu,na kujizolea likes za wazinzi. **** Mola tusamehe kwa kuunga mkono mipango ya wazinzi. Nyoote semeni,Aaamin.
 
sikia maskini mwenzangu wala usijitutumue kwa kuhangaika sanaaaaa

5000 yako ni nyingi sana and it worth more than those digits on it

Najua huyo mpenzi wako unampenda na unajua anapenda sana nyimbo gani kuimba au kusikiliza najua umeshamfumania hata akiimba kimoyo moyo badhi ya nyimbo flani flani.

Chukua hiyo hela yako nenda kanunue empty cd iliyo ndani ya cover,usinunue zile za buku wanazoweka kwenye vikaratasi nop nunua CD zilizo kwenye cover flani kama mfano huuView attachment 1267832

zinauzwa stationary kubwa bei yake utauziwa 2000 au 3000 sasa tu assume umenunua 3000 so kwenye ile 5000 utakua umebakiwa na 2000 sasa hiyo hela nenda kwa wanao burn cd mpe mlipe 2000 then chagua nyimbo tamu tamu unazopenda wewe mpenzi wako azisikie.

Najua kuna nyimbo huwa unatamani laiti ungekua mwanamuziki ungemuimbia mpz wako,sasa put those hits in your cd hakikisha ni nyimbo tamu nzuri nzuri unazozipenda wewe azisikie zenye sweet melodies na ujumbe.

Kisha chukua CD yako ifunge kwenye Bahasha nzurii ya kaki ya 200,tulia nayo akija geto usiwe na mawenge kabisa,mpe mambo after kile cha kwanza ndio mtolee zawadi yake mpe,wakati aki smile na kutamani kujua what is inside mpe cha Pili.

Mambo muki diiiiii muki deeeee

Faza muulize kwanza ako kabinti kanatokea mitaa gan,ayo mambo ya cd mtoto wa uswahilin usijeishia kutukanwa bure ayo mambo ya cd yana watu wake!
 
Kwa sisi wapenda zawadi hata hiyo ya buku 5 inafaaa, hivi unajua ni kiasi gani ukimpa mwanamke zawadi hata kama ndogo anavyoithamini? Kitendo cha kuwaza kumnunulia zawadi ni upendo tosha. kama unajua size yake mnunulie Simple shoes, au saa au perfume , simu, etc. God bless u mdogo wangu
 
Akhirisha mipango yako ya uzinzi,ebo! Huyo ni mtoto wa mwanamme mwenzio anayekuzidi umri,mwenye matarajio mazuri ya kumuozesha mme mwema,atakaye tambuliwa nyumbani kwao. Peleka posa,umuowe. Usitangaze tena hapa mipango yako ya bakshishi ya uzinifu,na kujizolea likes za wazinzi. **** Mola tusamehe kwa kuunga mkono mipango ya wazinzi. Nyoote semeni,Aaamin.
Mkuu njoo taratibu mbele kuna kisiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi wapenda zawadi hata hiyo ya buku 5 inafaaa, hivi unajua ni kiasi gani ukimpa mwanamke zawadi hata kama ndogo anavyoithamini? Kitendo cha kuwaza kumnunulia zawadi ni upendo tosha. kama unajua size yake mnunulie Simple shoes, au saa au perfume , simu, etc. God bless u mdogo wangu
#luckyline Yaan we nimekupenda bure kwa maana unajua maana ya mapenzi, chakushangaza nimemnunulia viatu vya 3000 na leo hii ndo kavivaa takiribani week 2 tangu nimnunulie na mapenzi ndo naona yameshika kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom