- Thread starter
- #21
yy cyo mwanafunzi.Ni vizuri akamchunguza mwenyewe. Maana kitu kama saa mimi hua sivai mtu akinipa ntapokea ila hatokaa anione nayo. Kwasababu ni mwanafunzi anaweza akamnunulia vitu vinavyohusiana na shule.Au nguo/viatu kama anajua style na size yake.Kitu kingine ambacho kila mtu anahitaji ni chakula kama alivyosuggest Boss, sema hii inategemea anaishi na wazazi au la, na kama anaishi na wazazi wawe wanamjua mshkaji.Au amkabidhi cash msichana aangalie mwenyewe nini anahitaji.