The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
:shock::shock::shock:..........:faint::faint:
huyoooo ulifikiri nitakuweka na 'the tiny fish'??
next match ni asha ngedere lol
:shock::shock::shock:..........:faint::faint:
Hahahahaah
Tutabishana mpaka kuhusu muda wa kuoga.
Fynest nae ataulizwa maswali mpaka "kwanini anataka kunywa cha saa moja na nusu na sio saa mbili". Sidhani kama tutasurvive.
:lol::lol:...hakyanani weee mtu!!!!huyoooo ulifikiri nitakuweka na 'the tiny fish'??
next match ni asha ngedere lol
Plan za Boss sizielewi kabisa sijui....lol
sifa kubwa ya NN na Lizzy....
ni kuwa cheating is unforgivable....sasa hiyo naona ni best match so far..
Hehehhehe.. . . yako hii hapa LIKE.Ha ha ha, nimecheka sana reaction zenu Lizzy na TF
nimewagongea like hapo
Hahahaha.Thats a good one. . .kwahiyo mmoja akienda kucheat anajua kabisa kinachomsubiria.Akirudi hata hasemi anachukua kilicho chake huyoooooo.
@Fynest hahahahaha.Asha Ngedere si atakuua wewe?
Acha umbea.
@Boss, nasubiria.
Nauliza jamani wanaJf hivi kama mwanamke katoka kubleed baada ya siku moja uka sex naye je anaweza kupata mimba? mwenye aidia anisaidie japo mi nahusika sana na maabara vipimo
Aisee anaweza kunichoma moto kabisa...lolHahahaha.Thats a good one. . .kwahiyo mmoja akienda kucheat anajua kabisa kinachomsubiria.Akirudi hata hasemi anachukua kilicho chake huyoooooo.
@Fynest hahahahaha.Asha Ngedere si atakuua wewe?
Boss anatuchanganyia Ngano na Sembe...Ha ha ha, nimecheka sana reaction zenu Lizzy na TF
nimewagongea like hapo
Yeahhh nzuri sana aisee. . . . no ifs and buts. . . no i'm sorrys and a lot of irrelevant explanations.umeona yaani ikitokea cheating
kila mtu anajua whats next....lol mkataba uko very clear...
Boss anatuchanganyia Ngano na Sembe...
Hhahaha!!! Unataka Rocky aamke huko alikolala sasa hivi...halafu hata mama tuli mnaendana sana ujue?lol
Hhahaha!!! Unataka Rocky aamke huko alikolala sasa hivi...
mbmbinho c na heshima yangu yote itaishia hapoooo.....c unajua ntakuwa cna hata hela ya kumnunulia mtori........au nitoe hela zote benki ndo nimpe hiyo visa/master card?We nenda kamkabidhi Visa/master card yako itatosha. Hayo mengine mbwembwe tu.