"HAMNAZO" kind of Presid ha ha ha haaaaa! Kama hafai kulinganishwa na VASCO DA GAMA basi tumfananishe na MYAHUDI MZURURAJI. Kazi tunayo na hivi na sisi wa-TZ ni mabumunda tutakoma. Hivi jeshini hatuwezi pata vichaa kama akina CAPTAIN SANOGO walipige BAN huko huko lilikoenda? Wajeshi wetu nao hovyo kabisa, eti nao wanatulaumu sisi raia kwa upole wetu. Mods tafadhali tuheshimiane!
nimependa ulivyojihami hapo mwishoni!
Hapo kwenye red nimecheka hadi nilio karibu nao wanakuja kuangalia nini ninacheka nikabadili tab!!"HAMNAZO" kind of Presid ha ha ha haaaaa! Kama hafai kulinganishwa na VASCO DA GAMA basi tumfananishe na MYAHUDI MZURURAJI. Kazi tunayo na hivi na sisi wa-TZ ni mabumunda tutakoma. Hivi jeshini hatuwezi pata vichaa kama akina CAPTAIN SANOGO walipige BAN huko huko lilikoenda? Wajeshi wetu nao hovyo kabisa, eti nao wanatulaumu sisi raia kwa upole wetu. Mods tafadhali tuheshimiane!
Hizo kofia wanavaa maalbino kuwasetili na jua na ndio maana huyo mzungu hapo nyuma anamshangaa jamaa anavyofurahia hiyo hat!! Jamaa huyu ni cheating sana ;mswahili ni mswahili tu hata akivaa suti.
............. mswahili ni mswahili tu hata akivaa suti.
"HAMNAZO" kind of Presid ha ha ha haaaaa! Kama hafai kulinganishwa na VASCO DA GAMA basi tumfananishe na MYAHUDI MZURURAJI. Kazi tunayo na hivi na sisi wa-TZ ni mabumunda tutakoma. Hivi jeshini hatuwezi pata vichaa kama akina CAPTAIN SANOGO walipige BAN huko huko lilikoenda? Wajeshi wetu nao hovyo kabisa, eti nao wanatulaumu sisi raia kwa upole wetu. Mods tafadhali tuheshimiane!
kwanza hata kumfananisha na vasco dagama ni kumkuza sana, vasco dagama alikuwa strategic, huyu anatanga tanga tu hana lolote.
nimependa ulivyojihami hapo mwishoni!
Dah! umetisha mkuu, unawawekea mkwara wachiteme wala kumung'unya?
prezida kwa kweli ananipa raha! anapenda sana kushusha kitonga huku kasimamia baiskeli! madaraka yakiisha anaweza hata kupata mtikisiko wa ubongo bila mtu kumuangusha kwa jinsi ambavyo atazimiss go na return trips! toka kuumbwa kwa ulimwengu sidhani kama ameshawahi tokea rais kama huyu! yeye ni wa aina yake, jamani wahusika pulizzzzz aingie kwenye guiness book of records! realy pathetic!