Zari white party dress! Ni shidaaa!

Zari white party dress! Ni shidaaa!

Inadaiwa machale yamemcheza baada ya kupata barua toka kwa wanaharakati waliomshinikiza asitie mkono wake kwenye Muswada huo wenye ukandamizaji wa hali ya juu na kama atatia mkono basi wanaharakati watafungua kesi mahakamani kupinga sheria hiyo inayoshabihiana sana na sheria za nchi za North Korea, China, Syria, Russia na chache nyinginezo.

Ule mswada wa sheria mpya za mitandaoni JK anasaini lini
 
Huyo wala siyo Zari, Kyalankota, nakushauri utoke kivinginevyo!!!!
 
Inadaiwa machale yamemcheza baada ya kupata barua toka kwa wanaharakati waliomshinikiza asitie mkono wake kwenye Muswada huo wenye ukandamizaji wa hali ya juu na kama atatia mkono basi wanaharakati watafungua kesi mahakamani kupinga sheria hiyo inayoshabihiana sana na sheria za nchi za North Korea, China, Syria, Russia na chache nyinginezo.

.....sidhani, kunawatu hawawezi kuchanganya na zao kisa watanionaje waliopitisha....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inadaiwa machale yamemcheza baada ya kupata barua toka kwa wanaharakati waliomshinikiza asitie mkono wake kwenye Muswada huo wenye ukandamizaji wa hali ya juu na kama atatia mkono basi wanaharakati watafungua kesi mahakamani kupinga sheria hiyo inayoshabihiana sana na sheria za nchi za North Korea, China, Syria, Russia na chache nyinginezo.
Lakini juzi taarifa kutoka ikulu zilikuwa zinasema raisi atasaini miswada yote iliyopitishwa na bunge ikiwemo hii ya mitandaoni wakasema juzi kuna majambazi walikamatwa baada ya hapo kuna picha ilisambazwa na mtu mwingine ikionyesha akiwa amemvalisha mchumba wake pete kumbe ile ya kweli sheria lazima uisaniwe ili kudhibiti watu wanaopotosha kama hao.wanaharakati kama walikuwa na mpango wa kwenda mahakamani kupinga huu muswada kutosainiwa na raisi bora wangewahi mahakamani mapema kwa Jk kila yeye yupo tayari kufanya.
 
Back
Top Bottom