Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,405
😂😂😂😂😂Zari kagoma kabisa kuipa papuchi yake likizo
😂😂😂😂😂Zari kagoma kabisa kuipa papuchi yake likizo
😂😂😂😂Nawahurumia wanaoumizwa na maisha ya Zari. Jamani eee huyu ni mganda sio mtanzania tuache kumshobokea ebooo alisikika msukule mmoja wa mange huko insta
😂😂😂😂Nawahurumia wanaoumizwa na maisha ya Zari. Jamani eee huyu ni mganda sio mtanzania tuache kumshobokea ebooo alisikika msukule mmoja wa mange huko insta
Mkuu kwan UNATESEKA???Zari kagoma kabisa kuipa papuchi yake likizo
Mkuu kwan UNATESEKA???
Tunapataga likizo ya siku kama 6 hivi kila mwezi. Inatosha kabisa.Zari kagoma kabisa kuipa papuchi yake likizo
Kwani papuchi hazina likizo?Mkuu kwan UNATESEKA???
Na huku mfurahi nae msimsahau sana 😂😂Ha ha haaaa
Tupo tunafurahia nae kwenye mitandao mingine
Hongera nyingi kwake
Nenda uka google utaona 😂Picha
Time bado ikifika nitaolewa ila mimi nitawekea picha humu jamii forums sitofanya siri 😅wewe umeshaolewa?? au bado upo kwenye uchumba sugu??
Huh?Ndoa ya menopause
Mimi nikiolewa nita alika jamii forums yoteTuanze na wewe umeolewa?
Ushamba ni kushangaa mama tee kuolewa akiwa na watoto wakati bibi tifa kaolewa kikongwe ana mpaka vitukuu vp kwani kuolewa mwisho miaka mingapi tujuze.Ushamba ni pale unapofanya 'private wedding' wakati tayari una watoto watano, baba tofauti.