“Zari Hassan Aborted My Kids,” Farouk Sempala

Labor ward ambassador... Nikimkumbuka Huddah si kwa kichambo kile.....
Aatleast she is a labour ward ambassador kuliko huyo anaye bwia unga akifa hizo pesa anazotunza watazifaidi wengine wakay mwenzio kizaz chake kitafaidi hizo pesa
 
Atleast wote wanaonekana wanazo vp yule wa upande wa pili list yake inasomekaje
Kwa kweli atleast huyu maana hadi kujiingiza dildo sio level za yule ni level za kim kardashian kama yeye anavyosemaga
 
Kati ya wanaume wa zari nnaowajua huyo mwanaume ana sura mbaya jamani khaaa hapana asee
 
mwanamke kama huyo siwezi kuishi naye hata wiki moja. labda kama ni mchepuko ila singekuja kumuita wife hata siku moja.
 
wanaume wa zari


Ivan Semwanga
Isaac Lugudde
Farouk Sempala
General Jeje Odong
Moze Radio
Aziz Azion
Jose Chameleone
Isaiah
King Lawrence
Robert Ogwal aka Rasta Rob
Nigerian DJ
Exodus
DJ Shiru
Nigerian businessman
Tanzanian businessman who organizes her boat cruise in Dar es Salaam
Juma Seiko
Weasel TV

Hiyo list nimecopy hapa hapa jf kuna mdau aliileta kweli huyo mama ni kiwembe!

Mi nadhani ni kawaida kwanza ni wachache,kumbuka huyu mapenzi kwake ni hadharani kila mtu hujua kwasababu ya media kumfuatilia sana,amini nakwambia hawa madame wetu wa kitaa ni zaidi ya Zari,wanaorodha ya hatari uwezi amini,yaani 18 tu unapiga kelele kwa umri ule!almost 40,peleleza demu wako uone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom