D Deemsangi New Member Sep 10, 2021 2 0 Oct 14, 2021 #1 Kuna mtu anaweza nisaidia wapi naweza pata zao la shairi kwa hapa Dar
CHASHA FARMING JF-Expert Member Jun 4, 2011 7,789 8,914 Oct 14, 2021 #3 Zao tena au nafaka? Hahaaa unaenda kuoteshea Hydroponic baada ya kupata semina? Shauri inalimwa sana mikoa ya Kaskazini hasa Kilimanjaro Arusha na Manyara na pia Kanda za nyanda za juu kusini. Hii huwa ni contract Farming hivyo inapelekwa yote kiwandani ba pia hailimwi kwa wingi, Viwanda vinafanya kuagiza nje
Zao tena au nafaka? Hahaaa unaenda kuoteshea Hydroponic baada ya kupata semina? Shauri inalimwa sana mikoa ya Kaskazini hasa Kilimanjaro Arusha na Manyara na pia Kanda za nyanda za juu kusini. Hii huwa ni contract Farming hivyo inapelekwa yote kiwandani ba pia hailimwi kwa wingi, Viwanda vinafanya kuagiza nje
Kanungila Karim JF-Expert Member Apr 29, 2016 20,744 25,445 Oct 14, 2021 #4 Deemsangi said: Kuna mtu anaweza nisaidia wapi naweza pata zao la shairi kwa hapa Dar Click to expand... Shayiri
Deemsangi said: Kuna mtu anaweza nisaidia wapi naweza pata zao la shairi kwa hapa Dar Click to expand... Shayiri
wajingawatu JF-Expert Member Jan 20, 2013 2,048 2,442 Oct 14, 2021 #5 Deemsangi said: Kuna mtu anaweza nisaidia wapi naweza pata zao la shairi kwa hapa Dar Click to expand... Old bailey, iko UK hii
Deemsangi said: Kuna mtu anaweza nisaidia wapi naweza pata zao la shairi kwa hapa Dar Click to expand... Old bailey, iko UK hii
qualalumpagrinder JF-Expert Member Jul 28, 2016 393 642 Oct 17, 2021 #6 Kama lengo ni fodder jaribu ngano pia, upatikanaji wake ni mwepesi