mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,178
- 3,437
Acha urongoKwahiyo ndio mana wazanbr wakija na biashara Tanzania bara wanalipa kodi ila Tanzania bara wakipeleka biashara zanbr free
Ndio mana zanzibar mtu akija na gari lake kutembea nalo Tanzania bara wanalipa kodi kubwa ila mkenya,Zambia na nch jirani wanaingia kwa kodi ndogo Kama kwao