Zanzibar yaenda kuanguka kiuchumi

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kama haitochukua jitihada za haraka kuhakikisha bandari ya zanzibar inaboreshwa ili kutoa huduma kwa haraka itakosa mapato kwa wingi mno, kuna kampuni za meli zimesitisha safari za Zanzibar. Huo Ndio ukweli.

Hapa UK Kulikuwa na kampuni mbili za kusafirisha kontena, moja imekata safari za Zanzibar kwa sababu meli hizo zinapokuja Zanzibar hukaa muda mrefu tofauti na matarajio.

Na hiyo meli iliyobaki imepandisha bei kutoka £2,000 hadi 2,800 kwa 40ft high q.

Pia kontena zimekwama kufika Zanzibar toka mwaka jana, zipo Kenya bado kufika Zanzibar, wafanyabiashara wa UK kawaida kila mwezi hutoa kontena mbili, kutokana na usumbufu wa usafiri na bandari sasa watasafirisha kwa mwaka mtu kontena 3.

Nimefanya mazungumzo ya mmoja wasafirishaji wa biashara akilalamika juu ya biashara zao zilivyokuwa ngumu. Hapo awali kontena ilikuwa ni 4 to 6 weeks kufika Zanzibar sasa ni zaidi ya miezi sita.

Bye bye business Zanzibar, byebye uchumi wa Zanzibar

Bwana chibuu
Tumeyataka wenyewe. Kwa sababu kinachotukwamisha ni kitu kdg tu. mkoloni mweusi ametushika mapumbu na wala hatuachii tupumuue. Naamini znz ikiwa nje ya muungano basi isingekosa msaada au hata mkopo kutoka kwa nchi rafiki kwa znz au hta Benki ye dunia. Halafu CCM znz ndio tatizo , ukiwaona kule bungeni wanashindwa kutetea hoja inapokuja issue ya fursa / haki za kiuchumi kwa znz. wabunge hawa wa CCM wanawaachia wabunge wa ACT wazalendo pekee yao wawasilishe hoja bila ya hta kusaidia. Hata wazanzibari wanapotukanwa na lile senge pevu la sumbwanga yule mwanaharamu asiye na radhi za wazee wake Wallah Wabunge wa CCM huwa wanapiga makofi kwa kufurahia matusi ya shombe lile la kairabu.

Amini Chibuu kama znz itabaki ndani ya muungano bila ya kuwa na sauti na nguvu ya kiuchumu , tutashindwa kuleta maendeleo znz. suluhisho ni moja tu. Tuachwe tupumue na tukipata uhuru huu tufukuze wabunge wote wa ccm Kutoka znz, shenzi zao.
 
Koloni la Tanganyika hilo, ni lini koloni lilinyanyuka kiuchumi??😁😁

Kweli mkuu Znz ni koloni la tanganyika tena bila wasiwasi Tumekaa miku...ndu... juu kwa upumbavu wa watu wachache kutaka madaraka kwa nguvu bula ya kushinda uchaguzi. Pumbavu sisi eeeh
 
Hayo ni makubaliano ya ccm, baada ya kushutumiwa kwa kuikalia Zanzibar kwa mabavu walisema watatafuta watu watakaokuwa tayari kuwasaidia lakini hawatoiacha Zanzibar iwe chini ya CUF.
Hivyo wanajikaza awamu hii ipite wajiteue kihalali waendelee kupata misaada ya wahisani. Walisema hawako tayari kumsikiliza beberu, asiyefahamu historia ya Zanzibar anayetaka kuwachagulia viongozi.
Na hilo lilipata baraka zote kutoka Tanganyika, na waliapa hakuna atakayetawala Zanzibar isipokuwa CCM, asiyetaka na aende mahakamani.
Vyama vilivyoonewa vimekosa imani na mahakama hivyo kuamua kutokwenda mahakamani na kuiacha ccm iendelee kutawala mpaka watakapopata namna nyingine ya kuiondoa madarakani. Njia ya kura imeshindikana, hivyo tusaidiane kufunga mikanda.
Zanzibar ni ya watanganyika,msitegemee hali iwe bora huko wakati Tanganyika wamefunga mkanda.
 
Kweli mkuu Znz ni koloni la tanganyika tena bila wasiwasi Tumekaa miku...ndu... juu kwa upumbavu wa watu wachache kutaka madaraka kwa nguvu bula ya kushinda uchaguzi. Pumbavu sisi eeeh
Sasa mmekas mik...ndu... juu mnakuwa mnasubiri nini?
 
Hao waunguja na wapemba waifute serikali yao maana inamaliza pesa zao bure tu. Wajikabidhi tanganyika tuwatawale vizuri
 
Hii sio sababu mkuu tatizo ni bandari kuna lile crane moja tu lakushushia makontena na pia hakuna sehem ya kutosha ya kuegesha meli kubwa wanasema eti ukuta ni mbovu ukhanithi mtupu.
Ile nchi ndogo watawala wanajitajirishwa wao tu lakini miundo mbinu ya serikali hawajali. Mirado yao binafsi ndio huimarika kila siku. Memgine usiwaulize ni wanafiki.sijapata kuona.
 
Nimeliona bandiko hili kama lina mzaha. Ukweli ni kuwa bandiko linaeleza mengi zaidi

1. Wazanzibar wanaishi kwa historia, hawajifunzi kutokana na historia
2. Wazanzibar hawatafuti majibu ya matatizo yao wanatafuta cha kusingizia na hapa muungano
3. Muungano hauna mchango wowote katika hali inayoonekana, mtoa mada kathibitisha
Tupitie hoja zake
"GHIBUU, post: 32150923, member: 35165"]
Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kama haitochukua jitihada za haraka kuhakikisha bandari ya zanzibar inaboreshwa ili kutoa huduma kwa haraka itakosa mapato kwa wingi mno, kuna kampuni za meli zimesitisha safari za Zanzibar. Huo Ndio ukweli.
Bandari si gati na majengo tu, ni huduma za abiria na bidhaa.

Kujenga bandari hakutaondoa tatizo ikiwa hakuna mizigo kama wanavyosema wafanyabiashara

Kuimarika kwa bandari ya Zanzibar kulitokana na kuwa kitovu cha biashara kati ya mashariki ya mbali kati na kwingineko.

Biashara hiyo ilihusu pembe, watumwa n.k. Kwasasa hivyo havipo tena, ni historia

2. Kuimarika kwa bandari kulitokana na siasa ya ujamaa iliyowafunga watu hasa wa bara

Sasa hivi ni soko huria na watu wanasafiri hawategemei tena kuja ZNZ kununua bidhaa

3. Soko la bidhaa za Znz ni bara n.k. Masoko yakiyumba biashara Znz inayumba

4. Zanzibar iliondoa Bandari katika muungano na kuitangaza kuwa bandari huru.

Jambo hilo limesababisha bandari za bara kuimarishwa kwa maana ya ushindani wa biashara

Znz ilitakiwa ndani ya muungano itoe hoja ya kuwa bandari ni sehemu ya uchumi wake

Kwasasa hoja hiyo haina mashiko kwavile bandari si sehemu ya muungano

5. Kwasababu hizo, bandari za bara zinapata meli kutokana na ukubwa wa uchumi
Hapa UK Kulikuwa na kampuni mbili za kusafirisha kontena, moja imekata safari za Zanzibar kwa sababu meli hizo zinapokuja Zanzibar hukaa muda mrefu tofauti na matarajio.
Si kweli, tatizo ni kampuni za meli haziwezi kuleta meli ya kontena 2000 zije znz kupakuwa kontena 8.

Kibiashara hiyo ni hasara hasa kwa kuzingatia biashara ya zama hizi inaendeshwa kwa logistic.
Ni rahisi ku contract kampuni kutoka Mombasa au Dar kupeleka kontena 8 kuliko kupeleka meli ya kontena 2000 kushusha kontena 8.

Hilo linatoa advantage kwa Mombasa na Dar es Salaam ambako meli hiyo ya kontena 2000, inapakua kontena 800 au 1000 sehemu moja
Na hiyo meli iliyobaki imepandisha bei kutoka £2,000 hadi 2,800 kwa 40ft high q.
Yes ili kufidia hasara ya kupeleka meli kupakua kontena 8.
Pia kontena zimekwama kufika Zanzibar toka mwaka jana, zipo Kenya bado kufika Zanzibar, wafanyabiashara wa UK kawaida kila mwezi hutoa kontena mbili, kutokana na usumbufu wa usafiri na bandari sasa watasafirisha kwa mwaka mtu kontena 3.
Ni kweli umethibitisha hoja yangu. Kwamba, hutoa kontena 2.

Kuchelewa ni kutokana na kutafuta meli itakayobeba hizo kontena kutoka Mombasa ambayo imekuwa contracted badala ya kupeleka Nedloyd yenye kontena 6000 kupakua kontena 4
Nimefanya mazungumzo ya mmoja wasafirishaji wa biashara akilalamika juu ya biashara zao zilivyokuwa ngumu. Hapo awali kontena ilikuwa ni 4 to 6 weeks kufika Zanzibar sasa ni zaidi ya miezi sita.
Tunarudi pale pale, kwamba, ni ghali sana kupeleka mzigo wa kontena 8. Wafanyabiashara wapo katika ''receiving end'' ya udogo wa soko la Zanzibar

Nikirudi katika historia, isitegemewe bandari ya Zanzibar itarudi kama zama za akina Karume.

Biashara ya znz inategemea masoko ya Bara na kwingine ambako biashara zimepamba moto.

Zama za kufuata TV ZN hazipo tena, siku hizi zinaletwa hadi nyumbani

Zanz kutegemea bandari ni kujidanganya. Nani atashusha mzigo Zanzibar ili auvushe kwa gharama kuja Bara, Burundi au Kongo ikiwa inawezekana kushusha mzigo huo haraka Dar au Mombasa?

Ukitaka kujua ZNZ ilipo angalia ushindani wa Mombasa na Dar es Salaam

Sasa Dar na Mombasa wana soko la mamilioni ya watu, ZNZ inategemea kulifikia soko hilo kwa kuvuka bahari. Katika hali hiyo hakuna kitu kinachoitwa bandari, hiyo ni historia

Uchumi wa znz kwasasa unategemea huduma kama zile za utalii.

Hakuna uzalishaji wa kupeleka mizigo na hakuna watumiaji kwa population yake

Haya Wznz hawayaoni wanadhani muungano ni tatizo.

Fikiria kuwa bandari ya Bagamoyo ingekuwepo au ikiwepo znz itakuwa na nini?

Fikiria kuwa bandari ya Tanga ikiwa bandari huru nani atakwenda znz?

Badala ya kutafuta mchawi, ndugu zangu wznz watafute suluhu ya matatizo yao kwa njia za kisayansi na kitaalamu.

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Nimeliona bandiko hili kama lina mzaha. Ukweli ni kuwa bandiko linaeleza mengi zaidi

1. Wazanzibar wanaishi kwa historia, hawajifunzi kutokana na historia
2. Wazanzibar hawatafuti majibu ya matatizo yao wanatafuta cha kusingizia na hapa muungano
3. Muungano hauna mchango wowote katika hali inayoonekana, mtoa mada kathibitisha
Tupitie hoja zake
Bandari si gati na majengo tu, ni huduma za abiria na bidhaa.

Kujenga bandari hakutaondoa tatizo ikiwa hakuna mizigo kama wanavyosema wafanyabiashara

Kuimarika kwa bandari ya Zanzibar kulitokana na kuwa kitovu cha biashara kati ya mashariki ya mbali kati na kwingineko.

Biashara hiyo ilihusu pembe, watumwa n.k. Kwasasa hivyo havipo tena, ni historia

2. Kuimarika kwa bandari kulitokana na siasa ya ujamaa iliyowafunga watu hasa wa bara

Sasa hivi ni soko huria na watu wanasafiri hawategemei tena kuja ZNZ kununua bidhaa

3. Soko la bidhaa za Znz ni bara n.k. Masoko yakiyumba biashara Znz inayumba

4. Zanzibar iliondoa Bandari katika muungano na kuitangaza kuwa bandari huru.

Jambo hilo limesababisha bandari za bara kuimarishwa kwa maana ya ushindani wa biashara

Znz ilitakiwa ndani ya muungano itoe hoja ya kuwa bandari ni sehemu ya uchumi wake

Kwasasa hoja hiyo haina mashiko kwavile bandari si sehemu ya muungano

5. Kwasababu hizo, bandari za bara zinapata meli kutokana na ukubwa wa uchumi
Si kweli, tatizo ni kampuni za meli haziwezi kuleta meli ya kontena 2000 zije znz kupakuwa kontena 8.

Kibiashara hiyo ni hasara hasa kwa kuzingatia biashara ya zama hizi inaendeshwa kwa logistic.
Ni rahisi ku contract kampuni kutoka Mombasa au Dar kupeleka kontena 8 kuliko kupeleka meli ya kontena 2000 kushusha kontena 8.

Hilo linatoa advantage kwa Mombasa na Dar es Salaam ambako meli hiyo ya kontena 2000, inapakua kontena 800 au 1000 sehemu moja Yes ili kufidia hasara ya kupeleka meli kupakua kontena 8. Ni kweli umethibitisha hoja yangu. Kwamba, hutoa kontena 2.

Kuchelewa ni kutokana na kutafuta meli itakayobeba hizo kontena kutoka Mombasa ambayo imekuwa contracted badala ya kupeleka Nedloyd yenye kontena 6000 kupakua kontena 4
Tunarudi pale pale, kwamba, ni ghali sana kupeleka mzigo wa kontena 8. Wafanyabiashara wapo katika ''receiving end'' ya udogo wa soko la Zanzibar

Nikirudi katika historia, isitegemewe bandari ya Zanzibar itarudi kama zama za akina Karume.

Biashara ya znz inategemea masoko ya Bara na kwingine ambako biashara zimepamba moto.

Zama za kufuata TV ZN hazipo tena, siku hizi zinaletwa hadi nyumbani

Zanz kutegemea bandari ni kujidanganya. Nani atashusha mzigo Zanzibar ili auvushe kwa gharama kuja Bara, Burundi au Kongo ikiwa inawezekana kushusha mzigo huo haraka Dar au Mombasa?

Ukitaka kujua ZNZ ilipo angalia ushindani wa Mombasa na Dar es Salaam

Sasa Dar na Mombasa wana soko la mamilioni ya watu, ZNZ inategemea kulifikia soko hilo kwa kuvuka bahari. Katika hali hiyo hakuna kitu kinachoitwa bandari, hiyo ni historia

Uchumi wa znz kwasasa unategemea huduma kama zile za utalii.

Hakuna uzalishaji wa kupeleka mizigo na hakuna watumiaji kwa population yake

Haya Wznz hawayaoni wanadhani muungano ni tatizo.

Fikiria kuwa bandari ya Bagamoyo ingekuwepo au ikiwepo znz itakuwa na nini?

Fikiria kuwa bandari ya Tanga ikiwa bandari huru nani atakwenda znz?

Badala ya kutafuta mchawi, ndugu zangu wznz watafute suluhu ya matatizo yao kwa njia za kisayansi na kitaalamu.

JokaKuu Pascal Mayalla
Naona unaeleza utumbo mtupu.

Kwanza kuhusu kuboreshwa kwa bandari sikiliza hizo video ambazo nimeweka hoja zilizo pelekwa bungeni, sababu za kutofanyika ujenzi wa utanuzi wa bandari na a terminal.

Pili sababu za contena kukwama mombasa, ni kutokana na bandari ya zanzibar kutokuwa na nafasi ya kupokea contena pamoja na kupakia empty contena, sio hivyo tu hata sehemu ya ukazi pale bandarini hakuna.

Kuna bidhaa nyingi za vyakula mpaka sasa hazijatoka wala kufika zanzibar, kutokana na usumbufu wa bandari.

Nakuomba sikiliza hoja ya bungeni sababu za zanzibar kushindwa kujenga bandari, kiufupi ni muungano.
 
Nimeliona bandiko hili kama lina mzaha. Ukweli ni kuwa bandiko linaeleza mengi zaidi

1. Wazanzibar wanaishi kwa historia, hawajifunzi kutokana na historia
2. Wazanzibar hawatafuti majibu ya matatizo yao wanatafuta cha kusingizia na hapa muungano
3. Muungano hauna mchango wowote katika hali inayoonekana, mtoa mada kathibitisha
Tupitie hoja zake
Bandari si gati na majengo tu, ni huduma za abiria na bidhaa.

Kujenga bandari hakutaondoa tatizo ikiwa hakuna mizigo kama wanavyosema wafanyabiashara

Kuimarika kwa bandari ya Zanzibar kulitokana na kuwa kitovu cha biashara kati ya mashariki ya mbali kati na kwingineko.

Biashara hiyo ilihusu pembe, watumwa n.k. Kwasasa hivyo havipo tena, ni historia

2. Kuimarika kwa bandari kulitokana na siasa ya ujamaa iliyowafunga watu hasa wa bara

Sasa hivi ni soko huria na watu wanasafiri hawategemei tena kuja ZNZ kununua bidhaa

3. Soko la bidhaa za Znz ni bara n.k. Masoko yakiyumba biashara Znz inayumba

4. Zanzibar iliondoa Bandari katika muungano na kuitangaza kuwa bandari huru.

Jambo hilo limesababisha bandari za bara kuimarishwa kwa maana ya ushindani wa biashara

Znz ilitakiwa ndani ya muungano itoe hoja ya kuwa bandari ni sehemu ya uchumi wake

Kwasasa hoja hiyo haina mashiko kwavile bandari si sehemu ya muungano

5. Kwasababu hizo, bandari za bara zinapata meli kutokana na ukubwa wa uchumi
Si kweli, tatizo ni kampuni za meli haziwezi kuleta meli ya kontena 2000 zije znz kupakuwa kontena 8.

Kibiashara hiyo ni hasara hasa kwa kuzingatia biashara ya zama hizi inaendeshwa kwa logistic.
Ni rahisi ku contract kampuni kutoka Mombasa au Dar kupeleka kontena 8 kuliko kupeleka meli ya kontena 2000 kushusha kontena 8.

Hilo linatoa advantage kwa Mombasa na Dar es Salaam ambako meli hiyo ya kontena 2000, inapakua kontena 800 au 1000 sehemu moja Yes ili kufidia hasara ya kupeleka meli kupakua kontena 8. Ni kweli umethibitisha hoja yangu. Kwamba, hutoa kontena 2.

Kuchelewa ni kutokana na kutafuta meli itakayobeba hizo kontena kutoka Mombasa ambayo imekuwa contracted badala ya kupeleka Nedloyd yenye kontena 6000 kupakua kontena 4
Tunarudi pale pale, kwamba, ni ghali sana kupeleka mzigo wa kontena 8. Wafanyabiashara wapo katika ''receiving end'' ya udogo wa soko la Zanzibar

Nikirudi katika historia, isitegemewe bandari ya Zanzibar itarudi kama zama za akina Karume.

Biashara ya znz inategemea masoko ya Bara na kwingine ambako biashara zimepamba moto.

Zama za kufuata TV ZN hazipo tena, siku hizi zinaletwa hadi nyumbani

Zanz kutegemea bandari ni kujidanganya. Nani atashusha mzigo Zanzibar ili auvushe kwa gharama kuja Bara, Burundi au Kongo ikiwa inawezekana kushusha mzigo huo haraka Dar au Mombasa?

Ukitaka kujua ZNZ ilipo angalia ushindani wa Mombasa na Dar es Salaam

Sasa Dar na Mombasa wana soko la mamilioni ya watu, ZNZ inategemea kulifikia soko hilo kwa kuvuka bahari. Katika hali hiyo hakuna kitu kinachoitwa bandari, hiyo ni historia

Uchumi wa znz kwasasa unategemea huduma kama zile za utalii.

Hakuna uzalishaji wa kupeleka mizigo na hakuna watumiaji kwa population yake

Haya Wznz hawayaoni wanadhani muungano ni tatizo.

Fikiria kuwa bandari ya Bagamoyo ingekuwepo au ikiwepo znz itakuwa na nini?

Fikiria kuwa bandari ya Tanga ikiwa bandari huru nani atakwenda znz?

Badala ya kutafuta mchawi, ndugu zangu wznz watafute suluhu ya matatizo yao kwa njia za kisayansi na kitaalamu.

JokaKuu Pascal Mayalla

TATIZO LA ZANZIBAR NI CCM.

Usiwaalaumu na kuwashutumu wazanzibari wote kwa matatizo na uzembe wa CCM.
 
TATIZO LA ZANZIBAR NI CCM.

Usiwaalaumu na kuwashutumu wazanzibari wote kwa matatizo na uzembe wa CCM.
Ccm wazanzibari wa wakilishi ni wanafiki, na kama kweli wa nataka kuwa seriously katika kutatua kero za muungano ni kuitisha kura ya maoni, miaka 50 sasa ccm bado wanalalamika kuhusu zanzibar kutofanyiwa haki na hao ccm wenzao bara, ni unafiki, tumbo mbele tu.

Wakae na wazanzibari wenzao iwe cuf, wazalendo, alimuradi Lao moja zanzibar kwanza kwa maslahi ya wazanzibari.

Wabunge wa ccm wa zanzibar wote wanafiki, ni bendera, ni ujiii, hana kaa kimya bungeni kama kuku alie tiwa maji kwenye gunia.
 
Ccm wazanzibari wa wakilishi ni wanafiki, na kama kweli wa nataka kuwa seriously katika kutatua kero za muungano ni kuitisha kura ya maoni, miaka 50 sasa ccm bado wanalalamika kuhusu zanzibar kutofanyiwa haki na hao ccm wenzao bara, ni unafiki, tumbo mbele tu.

Wakae na wazanzibari wenzao iwe cuf, wazalendo, alimuradi Lao moja zanzibar kwanza kwa maslahi ya wazanzibari.

Wabunge wa ccm wa zanzibar wote wanafiki, ni bendera, ni ujiii, hana kaa kimya bungeni kama kuku alie tiwa maji kwenye gunia.

Kwa wazanzibari musiwe na matarajia ya aina yoyote kwa kupitia CCM. Njia pekee ya kujikomboa ni harakati ziliozo nje ya CCM. Step yamwanzo ni kuindoa CCM madarkani.
 
Back
Top Bottom