View attachment ZRA_-_TANGAZO_LA_NAFASI_ZA_KAZI (1).pdf
Nahitaji kuuliza kitu zile nafasi za kazi za TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania)wakati zimetangazwa zilifanya consideration kwa Nchi zote mbili yaani Tanzania na Zanzibar!
Sasa leo hii nimekutana na Tangazo nafasi za kazi la ZRA (Mamlaka ya Mapato Zanzibar) naona wanaohitajika ni Wazanzibari tu naomba kueleweshwa.
ZRA ya kule haitaki watu wa Tanzania ila TRA ya Tanzania ndio inakubali imeakaaje hii?
Nahitaji kuuliza kitu zile nafasi za kazi za TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania)wakati zimetangazwa zilifanya consideration kwa Nchi zote mbili yaani Tanzania na Zanzibar!
Sasa leo hii nimekutana na Tangazo nafasi za kazi la ZRA (Mamlaka ya Mapato Zanzibar) naona wanaohitajika ni Wazanzibari tu naomba kueleweshwa.
ZRA ya kule haitaki watu wa Tanzania ila TRA ya Tanzania ndio inakubali imeakaaje hii?