beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mwandishi wa Habari Talib Ussi Hamad wa Tanzania Daima amesimamishwa kufanya shughuli zote za Uandishi wa Habari kwa muda wa miezi 6 kuanzia leo baada ya kusambaza taarifa za Mgonjwa wa Coronavirus bila ridhaa yake
Kwa mujibu wa Kifungu cha 41, 42(a) n (b) cha Sheria ya Magazeti, Vitabu na Wakala wa Habari, Mwandishi huyo hatoruhusiwa kufanya shughuli yoyote ya Uandishi wa Habari katika kipindi hicho chote
Kwa mujibu wa Kifungu cha 41, 42(a) n (b) cha Sheria ya Magazeti, Vitabu na Wakala wa Habari, Mwandishi huyo hatoruhusiwa kufanya shughuli yoyote ya Uandishi wa Habari katika kipindi hicho chote