Straddler
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 722
- 193
Tanga nao vip?. Dunia imekwisha jamani.
Usisingizie dunia kwisha... Dunia bado haijakwisha, kila mtu ataikuta na kuiacha kama ilivyo.
...tuache tu kuiga mila potofu. Mtu anakwenda kutembea zanzibar au mombasa anakuta wenyeji wanakamatishana ukuta, moja kwa moja anakwenda kuiga akifikiria hayo ndio maendeleo.... au kama wasemavyo, "kwenda na wakati". Toba..!!!!
:deadhorse: