Zanzibar kuna lockdown ?

Sifa ya ajira ya Askari wetu walio wengi ni kuwa na matokeo mabaya ya Aisha form IV au form VI na vimemo. Huwa hawajisumbui kabisa kufikiri kabla ya kufanya jambo tena Kwa binadamu wenzao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko mtaani mara nashtukia mkwaju wa mgongo nageuka niulize kulikoni nakula mtama nikanyanyuka na kutoka mbio,
Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…