Zanzibar kumekucha - Abdallah Issa

Zanzibar kumekucha - Abdallah Issa

Halisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2007
Posts
2,802
Reaction score
617
Mwimbaji maarufu, Abdalah Issa, ametoa kibao kipya kinachoonyesha kwamba kwa sasa CUF na CCM wameamua kikweli kushirikiana maana huyu wakati wote huwa anaimba muziki wa kuisifia CUF.

Anampongeza Rais Amani Abeid Karume, na Maalimu Seif Shariff Hamad, akisema Wazanzibari wameshapatana kuvinusuru visiwa vya Unguja na Pemba
 

Attachments

Mwimbaji maarufu, Abdalah Issa, ametoa kibao kipya kinachoonyesha kwamba kwa sasa CUF na CCM wameamua kikweli kushirikiana maana huyu wakati wote huwa anaimba muziki wa kuisifia CUF.

Anampongeza Rais Amani Abeid Karume, na Maalimu Seif Shariff Hamad, akisema Wazanzibari wameshapatana kuvinusuru visiwa vya Unguja na Pemba

Kaka asante sana.
 
Mumeusikiliza? Naona sasa kuna matumaini makubwa Zanzibar na kwa kweli nyuma ya pazia kuna watu mashuhuri wa kitoka Zanzibar ambao wameamua kuingilia kati; wamefanya hivyo kwa maslahi ya nchi yao na kwa kweli thistime hakuna wa kuwachezea tena hata hao sisiemu hakuna tena cha dodoma wala Dar
 
Mumeusikiliza? Naona sasa kuna matumaini makubwa Zanzibar na kwa kweli nyuma ya pazia kuna watu mashuhuri wa kitoka Zanzibar ambao wameamua kuingilia kati; wamefanya hivyo kwa maslahi ya nchi yao na kwa kweli thistime hakuna wa kuwachezea tena hata hao sisiemu hakuna tena cha dodoma wala Dar
Kila la kheri Mola awe nanyi.
 
Muungwana , Super star, Abdallah Issa. Hongera sana
 
Namuomba Mola ayafanikishe kweli hayo mambo ili tule Urojo na PWEZA vizuri FORO
 
Mumeusikiliza? Naona sasa kuna matumaini makubwa Zanzibar na kwa kweli nyuma ya pazia kuna watu mashuhuri wa kitoka Zanzibar ambao wameamua kuingilia kati; wamefanya hivyo kwa maslahi ya nchi yao na kwa kweli thistime hakuna wa kuwachezea tena hata hao sisiemu hakuna tena cha dodoma wala Dar


Mi naona ni wakati wa zanzibar kujitenga na tanganyika, kuna lawama nyingi sana mmekua mkitulaumu wa tanganyika, so mfanye hiyo isue wakati huu, wimbo wa taifa upo tayari, bendera ipo, mafuta mnayo, gesi pia ipo, bandari ipo, wasomi wapo, chakula kipo hata kama hakipo tutawauzia, jeshi lipo sasa what are you waiting for?
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais Amani Abeid Karume, amesema hakuna maamuzi yanayohusu maslahi ya nchi yatakayoamuliwa bila ya kushirikishwa wananchi wake. Rais Karume aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Kibandamaiti.
IPPMEDIA
 
Viongozi wetu wanaweka chama mbele kuliko nchi,ni ajabu.This time naamini kuna kivuli cha taifa kubwa na hawana ujanja.
Kwa wanaokumbuka sheikh Yahaya alitabiri serikali ya mseto kabla ya uchaguzi wa 2010.
 
Nasubiri maandamano mengine, lakini sasa ni ya kulaani kauli ya Karume. Tutashuhudia maandamano mengi tu, wakati mwingine kuunga mkono na wakati mwingine kulaani, na waandamanaji ni walewale wanaoyumbishwa na kauli za viongozi wa vyama!
 
Back
Top Bottom