Zanzibar kukodisha/kuuza visiwa vyake: Iko vipi?

Sijali

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
2,589
1,679
Habari zimetapakaa kuwa Zanzibar inauza visiwa vingine 9 mwaka huu, baada ya mwaka jana kuuza 10 kwa thamani ya $ 261.5 milioni! Kuna utatanishi ikiwa visiwa hivyo vinauzwa au vinakodishwa, kiasi wana habari wametumia istilahi zote mbili hizo. Wakuu wanasema wanakodisha.

Kwa uzoefu wangu, napenda sana kuwaamini watu wa nje wanapozungumzia mambo nyeti ya Tanzania kuliko wakuu wa Tanzania. Wakuu wengi wa Tanzania aidha huona uongo ni 'halali' au hawaoni kuna umuhimu wa kuwaeleza Watanzania ukweli: kwa vile, anyway, sisi ni mazuzu tu! Hiyo ni ikiwa wataamua kutueleza. Mara nyingi hawaoni hata haja ya kufanya hivyo!

1- Jee, jambo hili lilijadiliwa na wananchi, kabla ya wakuu fulani tu kufanya uamuzi?
2- Pesa zinazopatikana katika mauzo hayo zimepangiwa nini? Hizo $261.5 zimetumiwa katika nini?
3- Mara nyingi mwekaji -hasa Mzungu- anaponunua kitu, hataki 'wenyeji' wafike hapo, labda kwa kazi za kukata majani na kufagia tu.

Siku hizi wamegundua njia bora zaidi ya kuwazuia 'wenyeji' : wanaweka bei za kutisha ambazo wanajua 'mwenyeji' hata akiwa nazo, hathubutu!

Mkuu wa ZIPA amewaambia Wazungu, bei ya kisiwa inaanza dola milioni moja hadi milioni 75, tegemeana na ukubwa wake. Visiwa hivyo ni Miwi, Popo (hekta 450,Sumi 3.5 ha, Kwata 6.7 ha, Njao 470 ha, Kashani 31.8ha, Jombe 76 ha, Mtambini 200 ha na Fumbo 37 ha

Bill gates, tajiri namba nne duniani mwenye fedha 136.1 b ameshanunua Kisiwa cha Mnemba, Kisiwa kikubwa zaidi ya hivyo. Anachaji dola 2,000 kwa siku na wasiokuwa wageni hawaruhusiwi kutia mguu huko! Pia sehemu inayomzunguka kwa mita 200 ni marufuku mtu kupita huko. Inaitwa 'exclusion zone'!

Kuuza ardhi au kukodisha kumeenea sana nchi za Ghuba kama UAE (Dubai). Pengine wakuu wetu wanataka kuiga huko. Lakini wenzetu huko huuza jangwa tena kwa masharti magumu. Pia kwa vile wananchi wao wana uwezo mkubwa utakuta nao wamenunua bega kwa bega na wageni. Hapa kwetu si hivyo. Twawauzia visiwa nusu ya Pepo! Tena hakuna namna yeyote mwenyeji ataweza ku enjoy huko. Sehemu hizi zinazouzwa ni za urithi wa mazingira na hawa wanakwenda kuchafua (wakuu watakwambia tumewaambia wasichafue!).

Swali ni hili: Hivi akili zenu zote hamkuweza kupata vyanzo vingine vya fedha isipokuwa kuuza urithi wetu? Lini watoto wetu watakuja kuviona visiwa hivi katika hali ile ile walioviacha babu zetu?

Na mnataka kufanya nini na pesa hizo? Nasikia wanataka kujenga hoteli moja iitwayo DOMINO itakayokuwa ya pili kwa urefu katika Afrika!
==

Baraka Shamte akielezea suala la kukodisha visiwa​
 
Huu uzi ni mzuri lakini nina hofu usije ukatumika kupotosha.

Umeuweka kwenye mtindo wa swali. Jibu ni kwamba, visiwa hivyo vinakodishwa na wala haviuzwi.

Sisi tumekwenda Mnemba mara kadhaa na hata wanajamii wenzetu wanakwenda.

Ni maamuzi mazuri yaliyofanya na SMZ na mimi kama Mzanzibar nayaunga mkono.
 
Ujinga uliopitiliza. Huo mchakato ulifanyika lini? Nani waliamua hayo na kwa manufaa gani?
Wakati mwengine ni Bora kukaa kimya ili kulinda heshima tu!

Sasa hujui chochote kuhusu hili suala, hujui mchakato ulifanyika lini na hujui walioamua ni kina nani na hujui ni kwa manufaa gani lakini bado unaita huo ni ujinga uliopitiliza??

ID yako ina heshima kiasi chake, ni busara pia kuitunza heshima hiyo.
 
Wakati mwengine ni Bora kukaa kimya ili kulinda heshima tu!

Sasa hujui chochote kuhusu hili suala, hujui mchakato ulifanyika lini na hujui walioamua ni kina nani na hujui ni kwa manufaa gani lakini bado unaita huo ni ujinga uliopitiliza??

ID yako ina heshima kiasi chake, ni busara pia kuitunza heshima hiyo.
Vijana wa siku hizi hovyo sana wao kila kitu ni wanajua.
 
Wakati mwengine ni Bora kukaa kimya ili kulinda heshima tu!

Sasa hujui chochote kuhusu hili suala, hujui mchakato ulifanyika lini na hujui walioamua ni kina nani na hujui ni kwa manufaa gani lakini bado unaita huo ni ujinga uliopitiliza??

ID yako ina heshima kiasi chake, ni busara pia kuitunza heshima hiyo.
Ndo uelezee sasa wewe unayejua sio kukosoa tu
 
Huu uzi ni mzuri lakini nina hofu usije ukatumika kupotosha.

Umeuweka kwenye mtindo wa swali. Jibu ni kwamba, visiwa hivyo vinakodishwa na wala haviuzwi.

Sisi tumekwenda mnemba mara kadhaa na hata wanajamii wenzetu wanakwenda.

Ni maamuzi mazuri yaliyofanya na SMZ na mimi kama Mzanzibar nayaunga mkono.
Kama itapotosha, lawama moja kwa moja yaenda kwa serikali kwa kulifanya hili siri kwa Watanzania. Ningetegemea kwanza wangetangaza kwa raia na kutoa ufafanuzi. Pia wangewapa raia wa Tanzania kipa umbele. Sipingi kwa ujumla jambo hili, ingawaje tajriba inaonesha katika ku deal na wenye pesa na nguvu, tahadhari kubwa lazima ichukuliwe (Nyerere hakukosea).

Kwa mfano: Hivi mmoja wa wawekezaji akikiuka masharti ya uwekezaji, kama vile kuchafua mazingira, kuwanyanyasa raia.... serikali itaweza kweli kumnyang'anya? Zaidi ya hayo, una uhakika upi kuwa hakuna vipengele vya siri?

Msimamo wangu: Kukodisha ardhi/kuuza kusifanyike mpaka wananchi wawe financially, na serikali iwe militarily, strong kama vile UAE! Pesa tutafute kwingine!
 
Wakati mwengine ni Bora kukaa kimya ili kulinda heshima tu!

Sasa hujui chochote kuhusu hili suala, hujui mchakato ulifanyika lini na hujui walioamua ni kina nani na hujui ni kwa manufaa gani lakini bado unaita huo ni ujinga uliopitiliza??

ID yako ina heshima kiasi chake, ni busara pia kuitunza heshima hiyo.

Acha kupangia kihivyo wadau waandike nini humu.
 
Habari zimetapakaa kuwa Zanzibar inauza visiwa vingine 9 mwaka huu, baada ya mwaka jana kuuza 10 kwa thamani ya $ 261.5 milioni! Kuna utatanishi ikiwa visiwa hivyo vinauzwa au vinakodishwa, kiasi wana habari wametumia istilahi zote mbili hizo. Wakuu wanasema wanakodisha. Kwa uzoefu wangu, napenda sana kuwaamini watu wa nje wanapozungumzia mambo nyeti ya Tanzania kuliko wakuu wa Tanzania. Wakuu wengi wa Tanzania aidha huona uongo ni 'halali' au hawaoni kuna umuhimu wa kuwaeleza Watanzania ukweli: kwa vile, anyway, sisi ni mazuzu tu! Hiyo ni ikiwa wataamua kutueleza. Mara nyingi hawaoni hata haja ya kufanya hivyo!
1- Jee, jambo hili lilijadiliwa na wananchi, kabla ya wakuu fulani tu kufanya uamuzi?
2- Pesa zinazopatikana katika mauzo hayo zimepangiwa nini? Hizo $261.5 zimetumiwa katika nini?
3- Mara nyingi mwekaji -hasa Mzungu- anaponunua kitu, hataki 'wenyeji' wafike hapo, labda kwa kazi za kukata majani na kufagia tu.... Siku hizi wamegundua njia bora zaidi ya kuwazuia 'wenyeji' : wanaweka bei za kutisha ambazo wanajua 'mwenyeji' hata akiwa nazo, hathubutu!
Mkuu wa ZIPA amewaambia Wazungu, bei ya kisiwa inaanza dola milioni moja hadi milioni 75, tegemeana na ukubwa wake. Visiwa hivyo ni Miwi, Popo (hekta 450,Sumi 3.5 ha, Kwata 6.7 ha, Njao 470 ha, Kashani 31.8ha, Jombe 76 ha, Mtambini 200 ha na Fumbo 37 ha
Bill gates, tajiri namba nne duniani mwenye fedha 136.1 b ameshanunua Kisiwa cha Mnemba, Kisiwa kikubwa zaidi ya hivyo. Anachaji dola 2,000 kwa siku na wasiokuwa wageni hawaruhusiwi kutia mguu huko! Pia sehemu inayomzunguka kwa mita 200 ni marufuku mtu kupita huko. Inaitwa 'exclusion zone'!
Kuuza ardhi au kukodisha kumeenea sana nchi za Ghuba kama UAE (Dubai). Pengine wakuu wetu wanataka kuiga huko. Lakini wenzetu huko huuza jangwa , tena kwa masharti magumu. Pia kwa vile wananchi wao wana uwezo mkubwa utakuta nao wamenunua bega kwa bega na wageni. Hapa kwetu si hivyo. Twawauzia visiwa nusu ya Pepo! Tena hakuna namna yeyote mwenyeji ataweza ku enjoy huko. Sehemu hizi zinazouzwa ni za urithi wa mazingira na hawa wanakwenda kuchafua (wakuu watakwambia tumewaambia wasichafue!).
Swali ni hili: hivi akili zenu zote hamkuweza kupata vianzio vingine vya fedha isipokuwa kuuza urithi wetu? Lini watoto wetu watakuja kuviona visiwa hivi katika hali ile ile walioviacha babu zetu?
Na mnataka kufanya nini na pesa hizo? Nasikia wanataka kujenga hoteli moja iitwayo DOMINO itakayokuwa ya pili kwa urefu katika Afrika!
Acha kupotosha Rais Mwinyi alieleza jambo hili in full canera kuwa visiwa vinakodishwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi ni mzuri lakini nina hofu usije ukatumika kupotosha.

Umeuweka kwenye mtindo wa swali. Jibu ni kwamba, visiwa hivyo vinakodishwa na wala haviuzwi.

Sisi tumekwenda Mnemba mara kadhaa na hata wanajamii wenzetu wanakwenda.

Ni maamuzi mazuri yaliyofanya na SMZ na mimi kama Mzanzibar nayaunga mkono.
Hili nalo ni jambo zuri na zito..ni vizuri mkuu akalisemea vizuri kwamba maslai yake kwa serikali ya Zanzibar na ya Muungano ni yapi kwasababu limeshaleta sintofahamu..Mungu ibariki Tanzania na watu wake
 
Wakati mwengine ni Bora kukaa kimya ili kulinda heshima tu!

Sasa hujui chochote kuhusu hili suala, hujui mchakato ulifanyika lini na hujui walioamua ni kina nani na hujui ni kwa manufaa gani lakini bado unaita huo ni ujinga uliopitiliza??

ID yako ina heshima kiasi chake, ni busara pia kuitunza heshima hiyo.
Tatizo ninyi Ccm mnaamini mnachiwaza ninyi ndio sahihi, pathetic!
 
Huu uzi ni mzuri lakini nina hofu usije ukatumika kupotosha.

Umeuweka kwenye mtindo wa swali. Jibu ni kwamba, visiwa hivyo vinakodishwa na wala haviuzwi.

Sisi tumekwenda Mnemba mara kadhaa na hata wanajamii wenzetu wanakwenda.

Ni maamuzi mazuri yaliyofanya na SMZ na mimi kama Mzanzibar nayaunga mkono.
Nadhani uko sahihi ila mleta uzi ameuliza maswali ambayo mimi naona yanapaswa kupatiwa majibu. Baadhi ya maswali hayo ni: 1. Pesa za mauzo/kodi ya hivyo visiwa zinafanyiwa nini? 2. Mbona wananchi hawaambiwi? 3. Mbona mambo haya yamekuwa siri? Nadhani haya maswali yanapaswa kujibiwa.
 
Habari zimetapakaa kuwa Zanzibar inauza visiwa vingine 9 mwaka huu, baada ya mwaka jana kuuza 10 kwa thamani ya $ 261.5 milioni! Kuna utatanishi ikiwa visiwa hivyo vinauzwa au vinakodishwa, kiasi wana habari wametumia istilahi zote mbili hizo. Wakuu wanasema wanakodisha. Kwa uzoefu wangu, napenda sana kuwaamini watu wa nje wanapozungumzia mambo nyeti ya Tanzania kuliko wakuu wa Tanzania. Wakuu wengi wa Tanzania aidha huona uongo ni 'halali' au hawaoni kuna umuhimu wa kuwaeleza Watanzania ukweli: kwa vile, anyway, sisi ni mazuzu tu! Hiyo ni ikiwa wataamua kutueleza. Mara nyingi hawaoni hata haja ya kufanya hivyo!
1- Jee, jambo hili lilijadiliwa na wananchi, kabla ya wakuu fulani tu kufanya uamuzi?
2- Pesa zinazopatikana katika mauzo hayo zimepangiwa nini? Hizo $261.5 zimetumiwa katika nini?
3- Mara nyingi mwekaji -hasa Mzungu- anaponunua kitu, hataki 'wenyeji' wafike hapo, labda kwa kazi za kukata majani na kufagia tu.... Siku hizi wamegundua njia bora zaidi ya kuwazuia 'wenyeji' : wanaweka bei za kutisha ambazo wanajua 'mwenyeji' hata akiwa nazo, hathubutu!

Mkuu wa ZIPA amewaambia Wazungu, bei ya kisiwa inaanza dola milioni moja hadi milioni 75, tegemeana na ukubwa wake. Visiwa hivyo ni Miwi, Popo (hekta 450,Sumi 3.5 ha, Kwata 6.7 ha, Njao 470 ha, Kashani 31.8ha, Jombe 76 ha, Mtambini 200 ha na Fumbo 37 ha

Bill gates, tajiri namba nne duniani mwenye fedha 136.1 b ameshanunua Kisiwa cha Mnemba, Kisiwa kikubwa zaidi ya hivyo. Anachaji dola 2,000 kwa siku na wasiokuwa wageni hawaruhusiwi kutia mguu huko! Pia sehemu inayomzunguka kwa mita 200 ni marufuku mtu kupita huko. Inaitwa 'exclusion zone'!

Kuuza ardhi au kukodisha kumeenea sana nchi za Ghuba kama UAE (Dubai). Pengine wakuu wetu wanataka kuiga huko. Lakini wenzetu huko huuza jangwa tena kwa masharti magumu. Pia kwa vile wananchi wao wana uwezo mkubwa utakuta nao wamenunua bega kwa bega na wageni. Hapa kwetu si hivyo. Twawauzia visiwa nusu ya Pepo! Tena hakuna namna yeyote mwenyeji ataweza ku enjoy huko. Sehemu hizi zinazouzwa ni za urithi wa mazingira na hawa wanakwenda kuchafua (wakuu watakwambia tumewaambia wasichafue!).

Swali ni hili: Hivi akili zenu zote hamkuweza kupata vyanzo vingine vya fedha isipokuwa kuuza urithi wetu? Lini watoto wetu watakuja kuviona visiwa hivi katika hali ile ile walioviacha babu zetu?

Na mnataka kufanya nini na pesa hizo? Nasikia wanataka kujenga hoteli moja iitwayo DOMINO itakayokuwa ya pili kwa urefu katika Afrika!
Zanzibar ni sehemu ya JMT, kwa maana ya kuuzwa kwa kipande cha ardhi ndani ya JMT ina maana gani kwa mamlaka ya JMT?
Je watu wanaonunua visiwa hivyo watatawalwa kwa sheria zipi? za JMT, SMZ, au za nchi zao?
 
Back
Top Bottom