Wapemba gani wenye biashara za maana,biashara zote ziko mikononi mwetu Wa Tanganyika,nyinyi rudini kwenu,umkalime karafuu,mume humtaki,kuondoka huondoki,ondokeni,mtuachie Tanganyika huru.
acha unafiki wewe!
kwani tanganyika kwako ni kariakoo tu??
Acha kuchekesha watu wapemba mnaishi maisha ya shuda sana hapa tanganyika mpo uswahilini tu kwenye kijumba kimoja mnajazana 50, mtu anakioski tu cha kuuzia unga,mchele,pilipili, tangawizi anawake8 wanashindia ugali na dagaa,. Aa nyie wazanzibar ni shida tupu hyo baresa wenu akiamia huko atamuzia nani hayo maaskrim yake na mavyakula yake ya mangwea wakati nyie mmezoea kushindia ulojo,.
Mnafanya nini huko kila siku tu wewe ni mgeni BinMgeni mnatukanwa, mnachomewa vibanda vyenu, leo wanfuta kiuongo Ndoa za jinsia moja CHOMOKA HUKO KM HUJAOLEWA wenzako Kimataifa wanajulikana km Waliberali waachie visiwa vyao kwani haya mwaka hawatamaliza watatengana tena Waunguja na Wapemba,Na sisi WaTanganyika tuliopo Zanzibar ?
Alafu karume bado anatamaa kuwa kiongozi wa juu, au mchoyo. Na waende tu utanganyika kwanza.Mlibero Maalimu Seif anataka kulitumbikiza Taifa kwenye Sodoma
Mnatulisha, yaani hizi point zenu mnachekesha nyie. Wapemba mnaotaka kuwafukuza wamekupeni Ajira Kkoo, wamekujengeeni mji, wamekufundisheni ustaarabu na usafi. Wapemba wanahela mjini wewe mwenyeo unawalilia wale. Msisahau kumuondoa na Bakhresa,mtazidi kujambajamba. Zanzibar tulikuwa tunaimport vitu from india na bei ilikuwa cheeeee kuliko tunavonunua bara, kisha mnasema mbatulisha. Mnauwezo wa kutulisha? Matumbo yenu yanawashinda apo mlipo. Mnatulisha nini hasa? Mnatupa bure? Gari ikitoka Zanzibar kuja dar ilipiwe ushuru dar kuja zanzibar hamudaiwi ushuru kisha eti mnatusaidia ah, mnavituko sana . Wakati wapemba ndio wanakusaidieni na hasa apo kkoo, angalau mnapata hela ya kula kwa siku vyenginevyo mngejaa barabarani mkiomba omba!
Huko kwao wameshindwa nini, si mwende mkafanye biashara huko huko? Hawana umeme, hawana soko! Watu milioni moja na nusu wa Zanzibari. Kati yao laki nne na nusu wako bara kwenye masoko na mazao. Wakijitoa muungano tutafunga soko lao. Wauziane wenyewe kwa wenyewe tuone kama biashara zao zitaendelea.
Aidha, wazanzibar kama wazanzibar hawawezi kujikomboa pasipo kina John Okelo. Leo kina John Okelo hawako tena; zaidi zaidi kuna Al-Shabaab chini ya majangili wa Afrika Mashariki waliomo ndani ya CCM. Sasa sijui itakuwaje.
aah wapi shida ni unafiki wenu! Kikwazo ni CCM lakini hamjaitoa. Si hatuna cha kupoteza
Napendekeza warudi nyumbani haraka sana kabla hawajamwagiwa tindikali.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Tunawatakia mkutano mwema na tunaomba waharakishe kutangaza huo Uhuru wa Zanzibar ili ifikapo Januari 1, 2014 Zanzibar iwe "nchi huru"
Sawa kabisa waondoke,huyo Nasoro moyo ana nyumba amejenga Tanga,alipokuwa waziri,kila mara aja Tanga na familia yake kupumzika,ahame Tanga,Tanga ni Tanganyika si zanzibar.
Mnasubiri nini,,. Ni kubadilishana Duka na mpemba pale kariakoo, wahi ndugu kabla hayajaisha,.
Zanzibar ikija tangazwa Wilaya ya Pwani ndio utulivu utapatikana katika Jamhuri ya Tanzania, nasema Jamhuri ya Tanzania, sio jamhuri ya muungano, muungano ulifanyika enzi hizo, sasa kuna Jamhuri moja tu.