Mimi badala ya kukusahihisha ninakuunga mkono. Kulikoni Tanganyika? Kwa nini tunasema kichinichini tu kuwa "Tunataka Tanganyika yetu," mara "Ooh kwa nini Zanzibar ipo Tanganyika haipo?". Mara kadhaa kil wnapojitokeza Wazanzibari kudai kura ya maoni au kutaka kujitenga, sisi ndio wa mwanzo kusema "Waacheni wende, wao ndio watakao athirika". Hivi Tanganyika haiathiriki? Ikiwa kweli tunahisi Zanzibar inapendelewa katika Muungano, ikiwa kweli haturidhiki na kuwabebabeba, kwa nini Watanganyika hatuungani na Wazanzibari kurekebisha pale Nyerere na Karume walipokosea, licha ya nia yao njema?Hivyo watanganyika tunatakiwa tuamke, badala ya kuutetea muungano tunatakiwa tuujadili muungano huu, tuangalie maslahi ya pande zote mbili, na kama hakuna faida yoyote, na unatia hasara kwanini tuendelee kuwa na muungano huu kisa tu kwa ajili ya usia wa Nyerere ambaye pia ni mwanadamu? Otherways, Still stand to be corrected!
Utamaduni na Mila za Muislaam popote alipo ni Uislaam. Kumbuka hilo. Uislaam umekuja kuondosha mila na tamaduni za "kishenzi" na kuifanya dunia iwe na mila na tamaduni moja nayo ni UISLAAM.
Wanachosema Wazanzibari ni kweli kabisa, Jee, sisi hatuitaki nchi yetu ya Tanganyika?
Ikiwa wao watakuja kama wageni na sisi tutakwenda kama wageni kama ilivyo kwa mataifa mengine wanayoishi hapa na Zanzibar.
Naona ni wakati muafaka kila mmoja awe na nchi na Serikali yake na Muungano uwe wa nchi mbili zinazojitegemea kipekee.
...mpira miguuni 'kwao', golini hakuna kipa, wafunge tu....
zomba, natoka nje ya mada kidogo. Hapo kwenye red: Unaweza kuniambia ni kwa nini karne ya leo bado watu wanaangalia mwezi ili kujua siku ya sherehe imefika au la! Kiliondolewa nini na kuwa replaced na nini maana mambo ya kuangalia jua ya ujima?
Sijakuelewa kabisa, sasa mwezi unatazamwa na nani? na kwanini? Halafu mara mwezi mara jua. Hebu kuwa makini kidogo.
Waacheni, ya NYERERE yatatimia, leo wao watanganyika kesho wao wapemba. hakuna kambi ya wakimbizi itakayoanzishwa kwa ajili yao baada ya wao wenyewe kurumbana.
wapuuzi hawa Tundu lisu aliwatetea wakaishia kumtukana
Turahisishe mambo. Unaweza kuniambia the excat date ya kuanza ramadhani? plus the exact date ya Eid El fitri? Tafadhali usitumie hizi herufu mbili kwa pamoja "au".
Turahisishe mambo. Unaweza kuniambia the excat date ya kuanza ramadhani? plus the exact date ya Eid El fitri? Tafadhali usitumie hizi herufu mbili kwa pamoja "au".