Zanzibar is gone

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Kuna habari za kutatanisha kuwa tayari baraza la wawakilishi la Zanzibar au tunaweza pia kuliita Bunge la Zanzibar wanavutana kuhusu kuvunja Muungano na kundi linaloelekea kushinda ni lile linalotaka iitishwe kura ya maoni kuhusu hatma ya Muungano ,likidai wananchi waliowatuma wanahitaji kura ya maoni kuhusu Muungano ,ili ipatikane ridhaa yao.
Wengine walifika kuhoji mbona Tanzania haijatia saini kuhusu muungano wa East Africa hadi leo ? Wanaogopa kitu gani ?

Pia kuna tetesi kuwa umoja wa serikali ya kitaifa huenda ukavunjika muda si mrefu ,kuna upande utawasilisha na kuanzisha mvutano huo wa kura ya maoni na hapo ndipo tishio la kuvunjika kwa Muungano huo wa GNU.

Kwa kweli WaZanzibari wengi wamechoshwa na Muungano, kwani kuna wastaafu wengi wa kutoka JWTZ ambao nao wameonekana kupanda kwenye viriri wakisema hawalipwi mafao yao na hawana pa kuyadai ,serikali ya Muungano imewatelekeza na kuwatupa.

Kuna tetesi zingine zinasema Maalim Seif atamshauri Dr Shein na pia kuishauri serikali kuitisha kutangaza mgogoro wa Muungano na kuitaka kuitisha kura ya maoni ,ikiwa hoja yake itakataliwa basi atakuwa hana faida ya kubakia hapo alipo kama makamo wa Raisi kwani ni kuwasaliti wananchi.

Wananchi walio wengi wanasikika wakiitajataja hoja ya G55 wakidai kama wao wana makosa basi wale wa G55 nao wafikishwe mahakamani la si hivyo hoja ile itaendelezwa hadi kieleweke ,wengine walihoji kwa nini wabara(TZ) wanaona hayana aibu kuidai au kuishi kama Tanganyika, kwa nini wanaidharau Nchi yao.

Hivi ni WaZanzibari tu ndio wanahamu na kuwa na Taifa lao na kutunza itikadi na silka zao ukichanganyishwa na utamaduni wao ,hawa WaTanganyika wao vipi ? Mbona wanaing'ang'ania Zanzibar na wengine wanafika hata kufurahi unapowaita kuwa wao ni WaZanzibari na kunakuwa na mbinde ukimwita kuwa ni m'bongo ,huku ni kupotoka kwa mtu kudharau chake.
 
Kwanza Zanzibar hawana Utamaduni wao; Utamaduni wao ni kwa kiarabu toka Oman

Wengi waliokwenda huko kama Watumwa na kubaki kama wananchi Walipochukua Dini ya kiislamu; na Tamaduni zao

Zilipotea; Wakautwaa Uislamu... Maalim Seif alikuwa kilioni ana nyumba Bara, Wanadhani Wakivunja huo Muungano bado

Watakuja Bara kama kwao? Waache Wafanye watakavyo... Ni wakati Mzuri... Rais wa Muungano ni Muislamu. Waziri wa

Ulinzi Muislamu.

* Na hapo hao Wanajeshi wa Zanzibar kutolipwa Waziri wa Ulinzi kwa Miaka 10 ni Mzanzibari; Mtoto wa Mwinyi kwanini wasipeleke

Matatizo yao kwake; Haya Sasa Hivi Waziri wa Ulinzi ni Mzanzibari tena, kwanini wasiende kumuona? au ni Uvivu na kupenda kukaa

barazani na kulalama?
 
Kuna habari za kutatanisha kuwa tayari baraza la wawakilishi la Zanzibar au tunaweza pia kuliita Bunge la Zanzibar wanavutana kuhusu kuvunja Muungano na kundi linaloelekea kushinda ni lile linalotaka iitishwe kura ya maoni kuhusu hatma ya Muungano ,likidai wananchi waliowatuma wanahitaji kura ya maoni kuhusu Muungano ,ili ipatikane ridhaa yao.
Wengine walifika kuhoji mbona Tanzania haijatia saini kuhusu muungano wa East Africa hadi leo ? Wanaogopa kitu gani ?

Pia kuna tetesi kuwa umoja wa serikali ya kitaifa huenda ukavunjika muda si mrefu ,kuna upande utawasilisha na kuanzisha mvutano huo wa kura ya maoni na hapo ndipo tishio la kuvunjika kwa Muungano huo wa GNU.

Kwa kweli WaZanzibari wengi wamechoshwa na Muungano, kwani kuna wastaafu wengi wa kutoka JWTZ ambao nao wameonekana kupanda kwenye viriri wakisema hawalipwi mafao yao na hawana pa kuyadai ,serikali ya Muungano imewatelekeza na kuwatupa.

Kuna tetesi zingine zinasema Maalim Seif atamshauri Dr Shein na pia kuishauri serikali kuitisha kutangaza mgogoro wa Muungano na kuitaka kuitisha kura ya maoni ,ikiwa hoja yake itakataliwa basi atakuwa hana faida ya kubakia hapo alipo kama makamo wa Raisi kwani ni kuwasaliti wananchi.

Wananchi walio wengi wanasikika wakiitajataja hoja ya G55 wakidai kama wao wana makosa basi wale wa G55 nao wafikishwe mahakamani la si hivyo hoja ile itaendelezwa hadi kieleweke ,wengine walihoji kwa nini wabara(TZ) wanaona hayana aibu kuidai au kuishi kama Tanganyika, kwa nini wanaidharau Nchi yao.

Hivi ni WaZanzibari tu ndio wanahamu na kuwa na Taifa lao na kutunza itikadi na silka zao ukichanganyishwa na utamaduni wao ,hawa WaTanganyika wao vipi ? Mbona wanaing'ang'ania Zanzibar na wengine wanafika hata kufurahi unapowaita kuwa wao ni WaZanzibari na kunakuwa na mbinde ukimwita kuwa ni m'bongo ,huku ni kupotoka kwa mtu kudharau chake.

Source plse
 
Source plse

Niliweka topic kama hii toka Zanzibar Daima; kuhusu Wawakilishi wa Zanzibar Wanavyovutana kuhusu Muungano

Na wanasema wakikutana baadaye July wana kura ya kutaka kura ya Maoni ya Wananchi
 
Waacheni, ya NYERERE yatatimia, leo wao watanganyika kesho wao wapemba. hakuna kambi ya wakimbizi itakayoanzishwa kwa ajili yao baada ya wao wenyewe kurumbana.
 
Waafrika bwana ndivyo walivyo kufikiria kutengana nyakati hizi duh haya yetu macho tutaona mwisho wake
 
Ushauri wangu tujitenge nao then am sure akina Boko Halam,Alcaeda na Alshababy watafanya makao kule.
Then baada ya hapo tunaitwaa zanzibar kijeshi kama sehemu ya Tz bse machafuko hayatakoma uko.
 
Mkuu sio tetesi ni habari za uhakika kabisa,

Mgogoro uliopo sasa ni kuwa hata watetezi wa muungano zanzibar wanaogopa kujitokeza, wenye nguvu sasa ni wale wanaopinga. Mungu ibariki Jamuhuri ya watu wa zanzibar.

Sera za muungano za CCM huenda zitapelekea kushindwa vibaya znz kwa chaguzi zijazo!
 
Mkuu sio tetesi ni habari za uhakika kabisa,

Mgogoro uliopo sasa ni kuwa hata watetezi wa muungano zanzibar wanaogopa kujitokeza, wenye nguvu sasa ni wale wanaopinga. Mungu ibariki Jamuhuri ya watu wa zanzibar.

Sera za muungano za CCM huenda zitapelekea kushindwa vibaya znz kwa chaguzi zijazo!

Kwani lini waliwahi kushinda?
 
Wazanzibar wana hoja ya msingi, japo hawaathiriki kivile kwakuwa wao tayari wana serikali kamili ya umoja wa kitaifa.
Tatizo kubwa lipo upande wa Tanganyika. Kwa kweli ni aibu na fedheha kwa wazanzibari kuwasaidia watanganyika kudai serikali ya Taganyika, bila kuwa na reaction yoyote kutoka Tanganyika. Ni vizuri watanganyika wakaelezwa hasa na serikali ya Muungano huu uliokaa kushoto kuwa kuna siri gani tofauti na usia wa nyerere kuulinda muungano. Lazima nikiri kuwa Nyerere alifanya mengi mazuri kwa maslahi ya Tanganyika, na Karume alifanya vivyo hivyo kwa maslahi ya wazanzibari. Lakini pia lazima tukumbuke kuwa Nyerere hakuwa malaika, hivyo inawezekana labda alikosea, either kwa kutojua ama alijua.
Hivyo watanganyika tunatakiwa tuamke, badala ya kuutetea muungano tunatakiwa tuujadili muungano huu, tuangalie maslahi ya pande zote mbili, na kama hakuna faida yoyote, na unatia hasara kwanini tuendelee kuwa na muungano huu kisa tu kwa ajili ya usia wa Nyerere ambaye pia ni mwanadamu?


Otherways, I stand to be corrected!

Mungu Ibariki Tanganyika wa watu wanyenyekevu, wastaarabu, wapole na wakarimu kwa wenzao wa upande ule.

Mungu tunaomba uwang'ate sikio magamba waamke sasa watusaidie kuifufua Tanganyika yetu, au kama vipi, Tenda Miujiza bwana Mungu wa Majeshi, kazi hiyo waachie CDM na uamsho wakaitekeleze within a second!

Still stand to be corrected!
 
Baraza la wawakilishi halina nguvu ya kuvunja muungano.Bunge la JMT ndiyo chombo pekee chenye mamlaka na nguvu za kuvunja muungano.

WaZanzibar kama kweli wamepania kuvunja muungano hawapaswi kupiga kelele kwenye baraza la wawakilishi watatakiwa kufanya yafuatayo.

[1] Wamwagize makamu wa Rais Dr Gharib Bilal ajiondoe katika serekali ya muungano.

[2] Mawaziri wote kutoka Zanzibar wajiondoe katika serekali ya muungano.

[3] Wabunge wote toka Zanzibar wajiondoe katika vikao vya bunge la JMT.

[4] WaZanzibar wote walioko Tanzania bara au Tanganyika warejee Zanzibar au waombe passport ya kuishi Tanganyika.

[5] WaTanganyika wote wanaoishi Zanzibar warejeshwe Tanganyika watakao penda kubaia lazima wapatiwe passport ya Tanganyika mara moja.
 
Kwanza Zanzibar hawana Utamaduni wao; Utamaduni wao ni kwa kiarabu toka Oman

Wengi waliokwenda huko kama Watumwa na kubaki kama wananchi Walipochukua Dini ya kiislamu; na Tamaduni zao

Zilipotea; Wakautwaa Uislamu... Maalim Seif alikuwa kilioni ana nyumba Bara, Wanadhani Wakivunja huo Muungano bado

Watakuja Bara kama kwao? Waache Wafanye watakavyo... Ni wakati Mzuri... Rais wa Muungano ni Muislamu. Waziri wa

Ulinzi Muislamu.

* Na hapo hao Wanajeshi wa Zanzibar kutolipwa Waziri wa Ulinzi kwa Miaka 10 ni Mzanzibari; Mtoto wa Mwinyi kwanini wasipeleke

Matatizo yao kwake; Haya Sasa Hivi Waziri wa Ulinzi ni Mzanzibari tena, kwanini wasiende kumuona? au ni Uvivu na kupenda kukaa

barazani na kulalama?

Unajua nngu007 huwa tunasahau kuwa kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi. Let them go....kelele hizi zinachosha na naamini watu wenye vision wamesema sana umuhimu wa muungano huu. Ila huwezi kulazimisha mambo kila wakati
 
Ushauri wangu tujitenge nao then am sure akina Boko Halam,Alcaeda na Alshababy watafanya makao kule.
Then baada ya hapo tunaitwaa zanzibar kijeshi kama sehemu ya Tz bse machafuko hayatakoma uko.

Mkuu umefikiria kama vile unashauriana na Putin...hiyo strategy mbona kiboko
 
Kwanza Zanzibar hawana Utamaduni wao; Utamaduni wao ni kwa kiarabu toka Oman

Wengi waliokwenda huko kama Watumwa na kubaki kama wananchi Walipochukua Dini ya kiislamu; na Tamaduni zao

Zilipotea; Wakautwaa Uislamu... Maalim Seif alikuwa kilioni ana nyumba Bara, Wanadhani Wakivunja huo Muungano bado

Watakuja Bara kama kwao? Waache Wafanye watakavyo... Ni wakati Mzuri... Rais wa Muungano ni Muislamu. Waziri wa

Ulinzi Muislamu.

* Na hapo hao Wanajeshi wa Zanzibar kutolipwa Waziri wa Ulinzi kwa Miaka 10 ni Mzanzibari; Mtoto wa Mwinyi kwanini wasipeleke

Matatizo yao kwake; Haya Sasa Hivi Waziri wa Ulinzi ni Mzanzibari tena, kwanini wasiende kumuona? au ni Uvivu na kupenda kukaa

barazani na kulalama?

Utamaduni na Mila za Muislaam popote alipo ni Uislaam. Kumbuka hilo. Uislaam umekuja kuondosha mila na tamaduni za "kishenzi" na kuifanya dunia iwe na mila na tamaduni moja nayo ni UISLAAM.

Wanachosema Wazanzibari ni kweli kabisa, Jee, sisi hatuitaki nchi yetu ya Tanganyika?

Ikiwa wao watakuja kama wageni na sisi tutakwenda kama wageni kama ilivyo kwa mataifa mengine wanayoishi hapa na Zanzibar.

Naona ni wakati muafaka kila mmoja awe na nchi na Serikali yake na Muungano uwe wa nchi mbili zinazojitegemea kipekee.
 
Natamani ngelikuwa Rais! maelekezo yote kuhusu Muungano nilipewa na mwl kabla ya kifo chake.
 
Back
Top Bottom