nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Written by raha // 07/09/2012 // Habari // 19 Comments
UZANZIBAR BASI…SASA NI UTANZANIA. Ule ukoloni wa Tanganyika kutaka kuimeza zanzibar na kuwa nchi moja wazidi kupamba moto. Kwa taarifa tulizozipata ambazo si rasmi mpaka sasa kunatetesi kuwa Wazir wa nchi ofisi ya Rais Mwinyi Haji Makame anataka kupeleka mswada barazani wa kukifuta kitambulisho cha Uzanzibar ili kukipitisha kitambulisho cha Mtanzania kufanya kazi zanzibar.
Hii ni ile mikakati serikali ya umoja wa kitaifa na sera ya chama cha ccm kutoka serikali 2 kuelekea 1.na nchi iwe ni moja nakuwa TANZANIA. Kampeni ya kukikaribisha kitambulisho hicho ishanza na Dr shein kuwataka wazanzibar wajitokeze kwa wingi kuvichukua. JAMANI HIVI TUNAENDA MBELE AU TUNARUDI NYUMA,KWA KWELI NAKUMBUKA MANENO YA AMIR WANGU SH MSELLEM ..KATIKA VYAMA VYETU TUNAEKEWA MAKUMBI NA BADO TUNACHAGUA HAYO HAYO.
Tunaposema ukweli watu wanaumia kuwa sasa SIASA NA VYAMA TUWEKE PEMBENI TUWE PAMOJA na MAAMIR WETU TUKOMBOE NCHI YETU. WAZANZIBAR MUKO TAYARI KUVIKATA VITAMBULISHO VINAVOTOKA TANGANYIKA ILI TULINDE HESHMA NA HADHI YA NCHI YETU.
Imetolewa na JUMIKI.
UZANZIBAR BASI…SASA NI UTANZANIA. Ule ukoloni wa Tanganyika kutaka kuimeza zanzibar na kuwa nchi moja wazidi kupamba moto. Kwa taarifa tulizozipata ambazo si rasmi mpaka sasa kunatetesi kuwa Wazir wa nchi ofisi ya Rais Mwinyi Haji Makame anataka kupeleka mswada barazani wa kukifuta kitambulisho cha Uzanzibar ili kukipitisha kitambulisho cha Mtanzania kufanya kazi zanzibar.
Hii ni ile mikakati serikali ya umoja wa kitaifa na sera ya chama cha ccm kutoka serikali 2 kuelekea 1.na nchi iwe ni moja nakuwa TANZANIA. Kampeni ya kukikaribisha kitambulisho hicho ishanza na Dr shein kuwataka wazanzibar wajitokeze kwa wingi kuvichukua. JAMANI HIVI TUNAENDA MBELE AU TUNARUDI NYUMA,KWA KWELI NAKUMBUKA MANENO YA AMIR WANGU SH MSELLEM ..KATIKA VYAMA VYETU TUNAEKEWA MAKUMBI NA BADO TUNACHAGUA HAYO HAYO.
Tunaposema ukweli watu wanaumia kuwa sasa SIASA NA VYAMA TUWEKE PEMBENI TUWE PAMOJA na MAAMIR WETU TUKOMBOE NCHI YETU. WAZANZIBAR MUKO TAYARI KUVIKATA VITAMBULISHO VINAVOTOKA TANGANYIKA ILI TULINDE HESHMA NA HADHI YA NCHI YETU.
Imetolewa na JUMIKI.