Walizoea kuiba kura sasa maji yako shingoni
ruvuma werawera chadema!morogoro wanatuangusha
ruvuma werawera chadema!morogoro wanatuangusha
Buhahahahahaha mpendwa mbavu zangu mie jamaniiina ajabu zaidi, maji yako shingoni wao wanahangaika kukunja suruali.. Bozos!
Inaonyesha ni mkakati wameweka ,majimbo mengi kama si yote wamepoteza na kwa kweli wamekataa kuweka saini ,maana wamelazwa chali au tuseme kwa ufupi wamelazwa kifudifudi ,na ndio ukaona matokeo yamesimama na kituo wamekifunga (Kituo kilichokuwa kikirusha matangazo ya matokeo kutokea Bwawani Hotel) ,Na huko Pemba ni landa slide madongo kuporomoka au wapemba wanasema ni ushindi wa Zilzala(tetemeko la Ardhi) sio tsunami kwani tsunami hutokna na hilo tetemeko sasa safari hakuna tsunami ni tetemeko mojakwa moja.
Wamezima mawasiliano na vyanzo vya habari ,kuna wasiwasi huenda mambo si shwari tena ,kuna jamaa wa ZEC kapigwa na kupewa kisago cha mbwa koko ,unajua bado kuna watumiwaji na hao ndio wanaoharibu mambo ya kiuchaguzi kuanzia karatasi ,hakuna hata kitu kimoja kilichopungua ,hizo ni mbinu za wizi tu si Zanzibar si bara ,vitu na vifaa vyote vimetimia kabisa ,maana vimelipiwa na vinatoka huko vilikotoka kwa dhamana haiwezekani kutokee kasoro.Ah ina maana hawatangazi matokeo tena? Mkuu mbona hutupi updates?