Zantel kupunguza wafanyakazi

Zantel kupunguza wafanyakazi

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,711
Kampuni ya zanzibar telecom ambayo hivi karibuni imeuza 85% hisa zake kwa kampuni ya Millicom inayo julikana kama Tigo inategemea kupunguza wafanyakazi wake ktk kila idara ili kubana matumizi.. Hayo yamesemwa kwenye Tangazo lililo tolewa na mkuu wa kampuni mpya wa kampuni hiyo... mkuu huyo amawaahidi wafanyakazi wote kupata haki zao japo litakua ni jambo si zuri sana kwa kampuni na kwa wafanyakazi watakao kumbwa na punguzo hilo..
 

Attachments

  • 1452683419730.jpg
    1452683419730.jpg
    29.7 KB · Views: 98
tatizo la unemployment linaongezeka kwa kasi.
 
Kampuni ya zanzibar telecom ambayo hivi karibuni imeuza 85% hisa zake kwa kampuni ya Millicom inayo julikana kama Tigo inategemea kupunguza wafanyakazi wake ktk kila idara ili kubana matumizi.. Hayo yamesemwa kwenye Tangazo lililo tolewa na mkuu wa kampuni mpya wa kampuni hiyo... mkuu huyo amawaahidi wafanyakazi wote kupata haki zao japo litakua ni jambo si zuri sana kwa kampuni na kwa wafanyakazi watakao kumbwa na punguzo hilo..

Inapelekea kaburini kupunguza usumbufu kwa wazikaji...kila la kheri zantel aka mdebwedo
 
So tigo ndo kachukua big market share ya soko now
 
Zantel ilikosa uendeshaji muda sanaa so acha wakapumzike huko ndiko kufilisika na waajiriwa wanauziwa humo humo
 
halotel atazimaliza kampuni nyinyi ila wanamakosa kidogo nguvu ya kusambaza laini bado
 
Kampuni ya zanzibar telecom ambayo hivi karibuni imeuza 85% hisa zake kwa kampuni ya Millicom inayo julikana kama Tigo inategemea kupunguza wafanyakazi wake ktk kila idara ili kubana matumizi.. Hayo yamesemwa kwenye Tangazo lililo tolewa na mkuu wa kampuni mpya wa kampuni hiyo... mkuu huyo amawaahidi wafanyakazi wote kupata haki zao japo litakua ni jambo si zuri sana kwa kampuni na kwa wafanyakazi watakao kumbwa na punguzo hilo..
!
!
Hii ina maana wameshindwa kabisa kabisa kuongoza hili kampuni. Ubunifu wa kuongeza mapato ya kutosha kugharamia operations zao haupo. Wakiwa kwa idadi hiyo wameshindwa, wakipungua si itakuwa shida zaidi. Rest in peace Zantel
 
zantel ilishindwa biashara siku nyingi sana,, wameshindwa kupenyeza soko la tanganyika....halotel muda .si mrefu nayo itaanguka tena vibaya sana
 
Back
Top Bottom