Tatizo la net ya bure ya Zantel inakata kata baada ya dk chache. Hamna means zozote za kuifanya isikatike?
Owk...nimekuelewa mkuuUnatakiwa utumie Line ya Epic Nation na sio zile modems za CDMA yani ambazo hazitumii line. Hiyo line ya Epic utaweza tumia katika modem yoyote ambayo iko unlocked eitha ya Tigo,Voda au Airtel. Epic line haikati mpaka uchoke ww.
ukitaka isikate usitumie mordem yao tumia voda uki connect usiku asubuhi ukiamka unaikuta bado iko connectedTatizo la net ya bure ya Zantel inakata kata baada ya dk chache. Hamna means zozote za kuifanya isikatike?
OFA bado inaendelea mpaka sasa hajapatikana Mutu
jaman mm speed ndio tatizo nikiwa natumia mode iliyo chakachuliwa japo natumia hzo line epic nation na nina premium account...msada plzzz
wana jf je kwa jirani zetu wa kenya watatumia line gani?