lameck laedo
Senior Member
- May 15, 2016
- 174
- 76
Hapo umeongea point ishu ni vifurushi tuZantel 4g ni yakitambo sema Wali launch kwanza zanzibar.
Yani Halotel wakiweka tu 4g na hivi vifurushi vyao vikibaki kama vilivyo ndio basi tena... Maana kwa sasa line zote za 4g ninazo Voda, Tigo, Ttcl lakini na endelea kurudi tu halotel bila kupenda
Umeona eeeeeIla 4g ya voda ni danganya toto.
Nipo Mwanza hapa hovo kabisa hawa jamaa wa voda.Ila 4g ya voda ni danganya toto.
Nipo Mwanza hapa hovo kabisa hawa jamaa wa voda.
Hata Dar bado inazingua sana
Umeona eeeee
Kiukweli halotel wana vifurushi vya ukweli mno....Wakivitengua watakuwa wameharibu kila kituZantel 4g ni yakitambo sema Wali launch kwanza zanzibar.
Yani Halotel wakiweka tu 4g na hivi vifurushi vyao vikibaki kama vilivyo ndio basi tena... Maana kwa sasa line zote za 4g ninazo Voda, Tigo, Ttcl lakini na endelea kurudi tu halotel bila kupenda
Nataka niitafute hiyo. Nasikia had vijijini unapata 4GMpango mzima ni halotel