Zambian President, Michael Sata dies in London

Zambian President, Michael Sata dies in London

Dah Mugabe atalia sana kapoteza jembe.
 
Nadhani huyu ni rais wa pili Zambia akiwa madarakani.
RIP Sata
 
Vyanzo mbalimbali nchini Zambia vimeripoti kuwa Rais Satta amefariki Dunia akiwa London nchini wingereza alikokuwa akitibiwa.

Tunaomba wenye taarifa za uhakika watuwekee hapa ili kujiridhisha zaidi.
===============================



Source: Zambiareports

Kwa kweli itakua ni pigo kubwa sana kwa Zambia,kwa jinsi huyu mzee alivyoingia kwa kuwanyoosha wapenda rushwa.Alikua hapepesi macho ukiharibu kazi,anakunyoosha.Ni viongozi wachache Afrika wenye uthubutu kama huyu.
R.I.P "King Cobra"
 
profesa wa kichina please huu msiba si wa kukosa!

Usijali, Nitakuwa Nimesharudi Toka Vietnam,nawaombeni Wote Mjumuike Na Wananchi Wenzenu Wa Zambia Katika Msiba Huu Mzito.TOENI KODI YA KUTOSHA ILI NIJE NIZICHOTE NA KUZIPIGA PANGA,SI UNAJUA NIMEKARIBIA KUONDOKA KWENYE USUKANI?USIMWAMBIE MTU,SIRI YAKO.
 
R.I.P mh. satta, polen wa zambia, cc wtz tupo pa1 nanyi ktk kpnd hk kigumu
 
RIP presidaa! Wazambia wana bahati sana, nature inawasaidia kuamua.
 
Kuwe na kikomo cha umri ww juu kuwa rais.
Sii kutimia tu bali na umri wa juu.
Wwzee nao kuingia ikulu basi chance za kuchagua rais kabla ya muda ni kubwa.
Na sasa Zambia kuongozwa Mzungu Guy Scort ambaye ndie VP.


Kwa katiba ya Zambia hawezi kua raisi, nadhani waziri wa ulinzi ndo ataingia ikulu.
 
RIP Satta. Kweli wazuri hawadumu.

Liko limoja humu tz linaumwa balaa, linatetemeka mpaka mvi ila linang'ang'ania tu kuwa Amiri Jeshi. Mungu atuepushe.
 
Kuwe na kikomo cha umri ww juu kuwa rais.
Sii kutimia tu bali na umri wa juu.
Wwzee nao kuingia ikulu basi chance za kuchagua rais kabla ya muda ni kubwa.
Na sasa Zambia kuongozwa Mzungu Guy Scort ambaye ndie VP.
Hapa Tanzania kuna watu wana mapenzi ya dhati kwa Lowasa ambaye ni mgonjwa na Dr Slaa ambaye ni mzee. Kifo hiki kiwe dedication kwa watu hao
 
R.I.P,tutakukumbuka daima,ulionyesha dhamira ya kweli kuwa upinzani ukiamua unaweza,hakika wazambia watakukumbuka kwa mengi sana, moja kuu ninalo kumbuka na kujifunza kutoka kwako ni kauli yako uliyosema kuwa huhitaji wachina wanao uza nguo za ndani bali unataka wachina wenye taruma.

Mkuu mpinzani wa kwanza kuchukua nchi Zambia ni Chiluba, nakumbuka sisi tukiwa busy tunashindanisha mtu na kivuli hawa wenzetu wapinzania washachukua nchi.
 
Back
Top Bottom