Mbona nasikia ameangukia put huko?Imekuwaje hajashinda kwa 98%?
Alikuwa hakubaliki kama yule wa nchi jirani ya Malawi.
Ma-exparts kutoka Malawi wamefurushwa.Huduma yao imebuma.Imekuwaje hajashinda kwa 98%?
Alikuwa hakubaliki kama yule wa nchi jirani ya Malawi.
Jamaa hakubaliki huyo ni basi tu wanajitahidi kung'ang'ania kama binti kiziwi wa Z anto...Imekuwaje hajashinda kwa 98%?
Alikuwa hakubaliki kama yule wa nchi jirani ya Malawi.
Kutoka mitandaoniHivi hatuna mwanaJF aliyepo huko Lusaka atupe updates?
Nchi zikiwa na uchaguzi mara nyingi wageni hurudi makwao kwa muda kuskilizia, hata magari transit tu husimama kwa muda upepo upite kama hapo nafikiri hakuna movements za border to border za Zambia hadi next week kilingana na hali itakavyokuwaHivi hatuna mwanaJF aliyepo huko Lusaka atupe updates?
Good! Either you comply or you get forced to comply! That's governance!!!Zambia nao wameaanza ujinga wa Tanzania. Wameingia jeshi mtaani.
Jamaa hakubaliki. Alidhani naye atalazimisha asilimia 98Good! Either you comply or you get forced to comply! That's governance!!!
Sawa hakubariki, lakini atashinda na atatangazwa na hakuna mbwa wala nyumbu atakayelia nywinywinywi wala nywinywinywi!Jamaa hakubaliki. Alidhani naye atalazimisha asilimia 98
Siku ya kuapishwa,Saa100 atakuwepo