Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Jana (280212) nilishuhudia mtangazaji bora wa kike 2011 Zamaradi Mketema akisema kipindi chake maarufu hakitakuwa hewani (mwisho wake) akiwa anamhoji Kanumba......nilisubiria kwa hamu nione atasema sababu gani lakini akaishia kwa kuaga.........
.......ama badu niliona kama ana kiashiria fulani hivi....je yawezekana ndio sababu za kipindi kutokuwa hewani???? Ina maana hakufanya mentorship kwa subdornate/coalegue wake?
...........nawaachia maswali wanajamvi
.......ama badu niliona kama ana kiashiria fulani hivi....je yawezekana ndio sababu za kipindi kutokuwa hewani???? Ina maana hakufanya mentorship kwa subdornate/coalegue wake?
...........nawaachia maswali wanajamvi