Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,420
- 104,870
Kumbe ...umefukua makaburi ya nyuma
Mkuu, kuna kitu nilikua nakitafuta kuhusu Zamaradi..... Sasa nilipo ipata hii habari ndipo nikajikuta naongea kwa sauti ya mshangao "kumbe nilikua naandika"...Imekuaje tena kubeba machepe kwenda kufukua makaburi ya watu
