mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Kumekucha na makucha yake.
Akina dada, akina mama na wanawake wote wa kiafrika salam!
Msizuzuke na kampeni ya haki sawa na kuishupalia.
Hii ni project kama project zingine.
Waanzilishi siyo wanawake kama wengi mlivyojua, bali ni wanaume wachache wenye wadhifa kwa faida zao binafsi.
Nyie wanawake hasa wa kiafrika mnatumika kama toilet paper tu.
50/50 siyo rafiki kwenu kihivyo, haina huruma na ninyi wala mateso mnayopitia
Kwa akili tu ya kawaida, 50/50 ianze Marekani then wewe Mwajuma, Fatu na Ashura wa Buza tena Afrika mfaidike kweli?
Nataka niwaambie mnatumika na mmekubali kutumika kufanikisha wajinga wachache huko US wapige fedha.
Mtawachukia waume zenu bure na kuwaona maadui, mtawaendea kwa waganga waume zenu bure kwa kuona wanawanyanyasa.
Adui yenu wa kweli si waume zenu, adui yenu wa kweli ni hao Operators wa Hii Movement ya haki sawa mnayoiona kama inawasaidia.
Hamjanielewa hapa, adui yenu si waume zenu bali ni Wanaume waanzilishi na wafadhili wa mradi huu wa haki sawa.
Dada zetu wa kiafrika acheni kutumika,nani kawashikia akili zenu?
Wazungu hawawatakii mema nyie na msijidanganye kuwa wanawapenda sana.
Haitotokea.
Nahitimisha kwa kusema, feminists wa kweli ni wanaume waliojificha nyuma ya kampeni ya haki sawa inayo pretend kusaidia wanawake ilhali haipo kwa lengo hilo.
Mwenye sikio na asikie.
Hebu simama kwenye nafasi yako na uwe mnyenyekevu uone kama mumeo atakurushia hata kofi.
Msitumike jamani
Akina dada, akina mama na wanawake wote wa kiafrika salam!
Msizuzuke na kampeni ya haki sawa na kuishupalia.
Hii ni project kama project zingine.
Waanzilishi siyo wanawake kama wengi mlivyojua, bali ni wanaume wachache wenye wadhifa kwa faida zao binafsi.
Nyie wanawake hasa wa kiafrika mnatumika kama toilet paper tu.
50/50 siyo rafiki kwenu kihivyo, haina huruma na ninyi wala mateso mnayopitia
Kwa akili tu ya kawaida, 50/50 ianze Marekani then wewe Mwajuma, Fatu na Ashura wa Buza tena Afrika mfaidike kweli?
Nataka niwaambie mnatumika na mmekubali kutumika kufanikisha wajinga wachache huko US wapige fedha.
Mtawachukia waume zenu bure na kuwaona maadui, mtawaendea kwa waganga waume zenu bure kwa kuona wanawanyanyasa.
Adui yenu wa kweli si waume zenu, adui yenu wa kweli ni hao Operators wa Hii Movement ya haki sawa mnayoiona kama inawasaidia.
Hamjanielewa hapa, adui yenu si waume zenu bali ni Wanaume waanzilishi na wafadhili wa mradi huu wa haki sawa.
Dada zetu wa kiafrika acheni kutumika,nani kawashikia akili zenu?
Wazungu hawawatakii mema nyie na msijidanganye kuwa wanawapenda sana.
Haitotokea.
Nahitimisha kwa kusema, feminists wa kweli ni wanaume waliojificha nyuma ya kampeni ya haki sawa inayo pretend kusaidia wanawake ilhali haipo kwa lengo hilo.
Mwenye sikio na asikie.
Hebu simama kwenye nafasi yako na uwe mnyenyekevu uone kama mumeo atakurushia hata kofi.
Msitumike jamani