Zamani nilikuwa najua JF ni mtandao wa devil worshippers

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,423
21,117
Wakuu zamani nilikuwa najua huu mtandao ni mtandao mahsusi kwa wale wanaoabudu shetani kwa maana nyuzi za kumtukana Mungu na kumuita Mungu majina ya ajabu zilikuwa nyingi sana


Sana sana members hawa hapa
1)Kiranga
2)Free Ideas
3) chalmton
4)kuna mmoja anaitwa ruta nn sijui alisomea mambo ya micro organisms

Pia kuna wachawi kama mtu mzito,mshana ,na kuna mchawi mwingine amezuka sasa hivi simpendi kisheeenzi linajiita rais2020
 
Wakuu zamani nilikuwa najua huu mtandao ni mtandao mahsusi kwa wale wanaoabudu shetani kwa maana nyuzi za kumtukana Mungu na kumuita Mungu majina ya ajabu zilikuwa nyingi sana


Sana sana members hawa hapa
1)Kiranga
2)Free Ideas
3) chalmton
4)kuna mmoja anaitwa ruta nn sijui alisomea mambo ya micro organisms

Pia kuna wachawi kama mtu mzito,mshana ,na kuna mchawi mwingine amezuka sasa hivi simpendi kisheeenzi linajiita rais2020

Mkuu,
Ni vizuri mtizamo wako sasa umebadilika na umekubali JF ni jukwaa la "mawazo huru " kwa hoja na pia kukubaliana kutofautiana kwa mawazo au kuhoji mantiki ya hoja ni sehemu ya kujua zaidi .
 
Wakuu zamani nilikuwa najua huu mtandao ni mtandao mahsusi kwa wale wanaoabudu shetani kwa maana nyuzi za kumtukana Mungu na kumuita Mungu majina ya ajabu zilikuwa nyingi sana


Sana sana members hawa hapa
1)Kiranga
2)Free Ideas
3) chalmton
4)kuna mmoja anaitwa ruta nn sijui alisomea mambo ya micro organisms

Pia kuna wachawi kama mtu mzito,mshana ,na kuna mchawi mwingine amezuka sasa hivi simpendi kisheeenzi linajiita rais2020
Nakushukuru kwa kunifahamisha kwamba kumbe Mshana jr ni kigagula , sikujua aisee !!!
 
Kuna kinywaji kinaitwa power, inaonekana mleta uzi ameitumia kwa muda mrefu
 
Karibu tujadili. Kuwa na mitazamo tofauti ndiyo uhai wetu. Mawazo siyo sare.
Hata hao unaowaita wachawi yawezekana mahali waliko ndiyo salama kuliko uliko wewe.
Mfano unajuaje kuwa unachokiabudu ndiyo sahihi kulko mwingine. Ni wazi jibu halitatosha.
 
HR 666 umewachokoza hawa watu km una familia andika urithi kbs ili waache Watoto ktk mazingira rafiki
 
Wakuu zamani nilikuwa najua huu mtandao ni mtandao mahsusi kwa wale wanaoabudu shetani kwa maana nyuzi za kumtukana Mungu na kumuita Mungu majina ya ajabu zilikuwa nyingi sana


Sana sana members hawa hapa
1)Kiranga
2)Free Ideas
3) chalmton
4)kuna mmoja anaitwa ruta nn sijui alisomea mambo ya micro organisms

Pia kuna wachawi kama mtu mzito,mshana ,na kuna mchawi mwingine amezuka sasa hivi simpendi kisheeenzi linajiita rais2020
Mi nina wasiwasi na namba 666
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom