Kulikuwa na kitengo maalumu cha magari kikijulikana kama Ufundi - KUMM yaani ufundi wa Kuendeleza Magari Mabovu ambapo magari yote ya serikali yaliyochoka kabisa yalikuwa yanapelekwa ili kuangalia namna ya kuyafufuaNyuma ya hapo ilikuwa kama tuko mbinguni...magari ya serikali yakiwa na namba GT,zimamoto na redcross tuliwaita wanyonya damu au chinjachinja,tulipewa uji wa njano na maziwa kutoka USA,tulipewa tanga shoes bure,kulikuwepo shule za wazazi zikiitwa TAPA,kulikuwa na PWD ..public works dapartment..school inspectors,enzi za kilimo cha kufa na kupona Mzee Kawawa aliamrisha viwanja vya Agakhan vilimwe lakini mwalimu akabadilsha uamuzi kwa njia za kibisara...
watu wa zamani ni mahir kutongoza live kuliko kizazi hiki cha kiduku mkuu
Suruali za jeans hazikuwepo kulikuwa na suruali za codrai na surual za mabuga luuu, ndo zilikuwa fashion.
Kutongozana ni barua iliyokuwa inaandikwa: Maria mpenzi salamu sana je hujambo, kama hujambo ndiyo furaha yangu kubwa. nikuonapo moyo wangu hushtuka, sili silali kwa ajili yako, kila siku nakuota wewe. naomba uwe mke wangu. ukinijibu nitafurahi sana. barua hii ukimaliz kusoma ichane wazazi wasiione. Akupendaye kwa moyo wote, Yohana.
Mkuu unakumbuka kitabu adventurers of tintin kitabu hicho walikuwa nacho watoto wa kishua a tuYeah nawakumbuka
Minnie the jinx, Rodger the Dodger, Dennis the Menace hahaaa na kulikuwa na vi comic novel vya Bounty nimesahau jina..... Good old days
wee umelogwa si mzima
hahahahahah..., hyo nzuri sanaaaaaaa..., jaribu kulinganisha maisha ya kipindi hiko na leo UTAELEWA VZR
wee unaona kuchagua bega ni vizuri??hahahahahah..., hyo nzuri sanaaaaaaa..., jaribu kulinganisha maisha ya kipindi hiko na leo UTAELEWA VZR
kumbuka tulikuwa hatupewi uhuru wa kuchagua umpendae atiii...........kidume kikikumind kinakubeba tena kikisaidiwa na vidume wengine wee upendo utajifunzaga kumpendaga huko huko.
mbaya zaid ilikuwa ukishakaa kwake hata kama hamtakutana kimwili usiku huo tayari wewe umeshakuwa mkewe huwez kutoroka na kurudi nyumban tena, na hata ukitoroka hupokelewi na wazazi manake wanajua tayari ushatolewa ubikira.
Mkuu Nyerere alikuwa anaheshimiwa na kuogopewa sana. Ilikuwa sio rahisi kusema baya lolote dhidi yake hadharani. Iliaminiwa kwamba ukimsema vibaya anakusikia. La msingi alisimamia maadili ya viongozi na nchi kwa ujumla. Sasa hivi hovyo tu. Ukivaa miwani myeusi wewe ni usalama wa taifaHapo kwenye Red panahitaji ufafanuzi ile wanetu waelewe vyema by the way nitaongeza hapa;
- Kuhamishiwa Mtwara au Sumbawanga kwa mfanyakzi ilikua laana tosha
- Tulitishwa kupelekwa Mafya (kisiwani)
- Ukivaa chumpi mpya hasa za Zabron au 007 lazima kale ka chuma kaonekane ili washikaji wajue umenunuliwa mpya
- Matozi waliitwa magwangwe na maranyingi walikua hawatawazi
- Wakuu wa wilaya waliweza kukutandika bakora mbele ya mkeo
- Ubakaji ilikua tendo la kawaida tuuu lilitwa Mande au mtungo
- Tulisafiri kwa juma kwenda Mtwara
- Wakazi wa Kigoma walijivunia biasha ya homela homela wenyewe wakiita pia BIZE
- Form 4 alikua msomi na angeweza oa mtoto wa mwenyekiti wa kijiji
- Ma bwana mifugo walitutibu GONO pia kwa sindano za ng'ombe na tulipoa
- Tulipanda foleni ili tupate kipande cha sabuni ya Ilula
- Chai walikunywa waungwana wa town sis zetu uji kwa asali
karudi baba mmoja toka safari ya mbali
kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili
watoto wake wakaja ili kumtaka hali
wakata na kauli iwafae maishani
.....................................................
Roho naona yashindwa kifo kibenikabili
.........................................................
Kama mataka mali mtayapata shambani
Hahahaaa...Kutongozana ni barua iliyokuwa inaandikwa: Maria mpenzi salamu sana je hujambo, kama hujambo ndiyo furaha yangu kubwa. nikuonapo moyo wangu hushtuka, sili silali kwa ajili yako, kila siku nakuota wewe. naomba uwe mke wangu. ukinijibu nitafurahi sana. barua hii ukimaliz kusoma ichane wazazi wasiione. Akupendaye kwa moyo wote, Yohana.