Zama za kulilia mapenzi zishapita

Zama za kulilia mapenzi zishapita

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,194
Reaction score
3,959
Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.

Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.

Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke unalialia eti rudi wakati kaondoka mwenyewe kweli.
 
Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.
Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.
Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke unalialia eti rudi wakati kaondoka mwenyewe kweli.
Mkuu pole sana yatapita tu na mungu akutie nguvu umalize mwendo salama.
 
Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.

Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.

Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke unalialia eti rudi wakati kaondoka mwenyewe kweli.
Acha kujipa matumaini, ukishazima unalia mwenyewe kwenye ghetto lako.
 
Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.

Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.

Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke unalialia eti rudi wakati kaondoka mwenyewe kweli.
Swali la msingi, Unaanzaje kumlilia mtu ambae yupo hai na hakudai?
 
Heee mkuu ,kumbe mapenzi yanaumizaga na hamsemiii😀😀

Mm npo na focus na pesa na Chelsea 😀 😀,mapenzi n ya watu wenye muda wakupotezaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom