Zama za kulilia mapenzi zishapita

Zama za kulilia mapenzi zishapita

Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.

Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.

Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke unalialia eti rudi wakati kaondoka mwenyewe kweli.
Wewe ni mbinafsi na una roho mbaya
 
Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.

Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.

Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke unalialia eti rudi wakati kaondoka mwenyewe kweli.
You will be fine..... You will be fine.... wewe sio wa kwanza au wa mwisho kupigwa na kitu butu kwenye mapenzi.
 
Mtoa mada usijali, bila kuachana na kurudiana mapenzi hayanogi hvy vuta subra mtarudiana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom