Ummaliza kila kitu mkuu.Kama ligi ilianza 1965, na FAT ilianzishwa 1945, hii miaka 20 FAT (TFF) ilikuwa inasimamia UMISETA??
Acheni kujiumiza ili tu kutaka kudogosha takwimu za Yanga. Aliye juu yupo juu tu ndugu.View attachment 2666381
Simba wanaumia mnoo