Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Scars

JF-Expert Member
Apr 8, 2017
44,401
105,296
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...

Soma sehemu ya pili hapa

Soma sehemu ya tatu hapa

Soma sehemu ya nne hapa

Soma sehemu ya tano hapa

Soma sehemu ya sita hapa

Soma sehemu ya saba hapa

Soma sehemu ya nane hapa

Soma sehemu ya tisa hapa
 
Muulizeni Zaka Za Kazi.

Kama Ligi Kuu ilianzishwa mwaka 1965,

Je Yanga SC (iliyo anzishwa mwaka 1935) na
Simba SC (iliyo anzishwa mwaka 1936)..zilikuwa zina fanyanini wakati wote huo wa miaka 30?


Jibu langu:-

Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania lilikuwa affiliated na CAF kuanzia mwaka 1965.

Ndipo hapo Shirikisho la soka Tanzania likaanza kujitambua kama siku yake ya kuzali.

Lakini lilikuwa likifanya kazi tangu hapo awali basi nankutotambulika kihalali kama mashirika ya soka mengine ya ulimwengu.
 
Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa.

64 - 65 ni kwamba ligi ilirasimishwa na bingwa wa kwanza akawa Sunderland...

Kabla ya hapo ligi ilikuwa ikichezwa pasipo urasmi na mabingwa walikiwa wakipatikana...

Jaribu tu kujiuliza timu za Simba na Yanga zilizoanzishwa miaka ya 30, je zilikuwa zipo zipo tu hadi huo mwaka 64/65?
 
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...
Mi natamani kujua hio miaka ambayo hakukuwa na mabingwa..

Nini kilitokea?? Na hatma yake ilikuaje???

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...
Kwanza hizo takwimu Tu zina makosa kama ulivotaja.. Tukuyu stars na mtibwa hazijaorodheshwa ina maana tayari hoja yake haijitoshelezi lakini pia Yanga na Simba zimeanza miaka ya 1930's je, hiyo miaka hakukua na ligi Hadi huo mwaka 1965?? Tuanzie hapo.. kama hakukua na ligi Sawa lakini kama zilikuepo basi zaka anataka kutupotezea muda
 
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...
Kwa source niliyoisoma mimi inaonesha kuwa mwaka 1988 bingwa wa ligi ya Tanzania bara alikuwa ni Coastal union, na mwaka 1989 na mwaka 1992 kombe la ligi ya Tanzania bara alibeba Yanga. Je ipi ni sahihi?
 
Kwanza hizo takwimu Tu zina makosa kama ulivotaja.. Tukuyu stars na mtibwa hazijaorodheshwa ina maana tayari hoja yake haijitoshelezi lakini pia Yanga na Simba zimeanza miaka ya 1930's je, hiyo miaka hakukua na ligi Hadi huo mwaka 1965?? Tuanzie hapo.. kama hakukua na ligi Sawa lakini kama zilikuepo basi zaka anataka kutupotezea muda
Kwahiyo unataka kusema Simba na Yanga walikuwa wanacheza ligi ya timu 2 tu?
 
64 - 65 ni kwamba ligi ilirasimishwa na bingwa wa kwanza akawa Sunderland...

Kabla ya hapo ligi ilikuwa ikichezwa pasipo urasmi na mabingwa walikiwa wakipatikana...

Jaribu tu kujiuliza timu za Simba na Yanga zilizoanzishwa miaka ya 30, je zilikuwa zipo zipo tu hadi huo mwaka 64/65?
Walikuwa wanacheza ligi ya timu 2?
 
Akitumia takwimu za walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika pekee anaweza kuwa anakosea. Nafikiri kuna wakati aliyekuwa anashiriki Klabu Bingwa ni aliyechukua Kombe la Muungano, kama sikosei kwa hiyo hapo tayari Bingwa wa Tanzania Bara alikuwa amepatikana, unless hakuwa anatambulika kama bingwa. Ila aangalie na hizo data na taratibu za kipindi kile za kupata mabingwa. Yanga wana tabia za kupotosha kwa hiyo sitashangaa kama na hili wamelilazimisha.

Ila ningependa Yanga wakumbushwe kuwa hadi mashindano ya CECAFA level ya vilabu yanasitishwa, Simba ndiyo anashikilia rekodi ya kulichukua mara nyingi.
 
Back
Top Bottom