KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Taarifa ya habari ya ITV imeonyesha umati wa watu uliokuwa ukimsikiliza dr. Slaa na kuhamia cdm.
Kweli magamba hawana chao mwaka huu!
bora watupishe hao wafanyabiashara watuachie wakulima na wafanyakazi chama chetu kama zamani,maana walikivamia chama mpaka wenye chama tukawa hatuonekani,wao ndio wakawa mbele,kweli kila jambo lina mwisho,waende wana kwenda hao mamluki