Zaidi ya wana-CCM 2000 wahamia CHADEMA

Zaidi ya wana-CCM 2000 wahamia CHADEMA

Dr.slaa na prophet lema wameonesha njia.
Solidarity forever..\/
 
Serikali itakuwa inahaha sana maana huu moto hauzimiki!!Tena Jumatatu wakishindwa kufanya maamuzi magumu,basi watakuwa wameisafishia CDM njia!
 
Mkuu ungefanya jambo la mbolea sana kama angalao ungetupatia picha ya huo umati.
 
Mkuu umati nimeuna kwenye tv ulikuwa mkubwa sana, wananchi wamehamasikasana diwani kaamua kujiuzuru na kujiunga na wapambanaji.
Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki Tanzania ila wasambaratishe ccm wanaojipenda wenyewe na kushibisha matumbo yao hasa LUKUVI, Mkulo, ngeleja, malima, mkuchika, majembe na wengine kama hao.
 
Mungi ibariki Tanzani hawa magamba wabaki Historia yanatosha mateso na dharau kwa Miaka Hamsini

Mbaraka Mohamed, unataka Mungi wa hapa JF aibariki Tanzani? Huo uwezo ameupata wapi? Mungi tafadhali njoo ujieleze kama na wewe umeanza kuwa TB Joshua.
 
Last edited by a moderator:
Dr.slaa na prophet lema wameonesha njia.
Solidarity forever..\/
Mh. Shardcore, naomba uniruhusu nitumie maneno uliyoandika ili kudeliver general message, NINAWAOMBA WOTE chonde chonde,tusitumie lugha/misamiati ya "kidini" katika siasa - wewe na mimi tunafahamu kuwa wapo wengi wanaoituhumu(wrongly!!!) CHADEMA kuwa na ushirikiano wa karibu na dini fulani - therefore please please let's not provide them with a golden alibi. Ninaamini sitakuwa nimekuudhi maana si nia yangu na ninaamini pia utakuwa umeelewa ninamaanisha nini.
 
Serikali itakuwa inahaha sana maana huu moto hauzimiki!!Tena Jumatatu wakishindwa kufanya maamuzi magumu,basi watakuwa wameisafishia CDM njia!
Hakuna cha maamuzi magumu kwa hawa vipofu.. kama mkuu mwenyewe anaogopa kukubali mawaziri kujiuzulu unatarajia nini zaisi ya porojo? Kwakifupi sasa wataelekeza mashambulizi kwa CAG ili asifichue uozo wao na ndipo kiama chao kitakapokuwa kimetimia.
 
Tatizo la ccm wanajaribu wanafikiri wanaweza kumkimbia hata ALLAH,matungusha wakubwa hao.
 
Mbaraka Mohamed, unataka Mungi wa hapa JF aibariki Tanzani? Huo uwezo ameupata wapi? Mungi tafadhali njoo ujieleze kama na wewe umeanza kuwa TB Joshua.

Wakuu mi nadhani ni typing errors, mimi ninamtumaini Mungu wa Mbinguni, sijasomea hata uinjilisti achilia mbali uchungaji, hivyo sina mamlaka hata ya kumwekea mkono mtu yeyote. Pamoja sana
 
Last edited by a moderator:
Taarifa ya habari ya ITV imeonyesha umati wa watu uliokuwa ukimsikiliza dr. Slaa na kuhamia cdm.
Kweli magamba hawana chao mwaka huu!

Ni jambo jemba kupata wanachama wapya. Jambo la kujiuliza hapa ni juu ya umakini wa hao member, je chadema wamewaamini? hofu yangu usikute ni VIRUS
 
Mh. Shardcore, naomba uniruhusu nitumie maneno uliyoandika ili kudeliver general message, NINAWAOMBA WOTE chonde chonde,tusitumie lugha/misamiati ya "kidini" katika siasa - wewe na mimi tunafahamu kuwa wapo wengi wanaoituhumu(wrongly!!!) CHADEMA kuwa na ushirikiano wa karibu na dini fulani - there please please let's not provide them with a golden alibi. Ninaamini sitakuwa nimekuudhi maana si nia yangu na ninaamini pia utakuwa umeelewa ninamaanisha nini.

Well said mkuu
 
Back
Top Bottom