Zaeni mapema acheni ubishoo

Zaeni mapema acheni ubishoo

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,617
Reaction score
3,680
Kwamfano sasa Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37. Anamaliza darasa la 7, wewe una miaka 44. Anamaliza kidato cha 4, wewe una miaka 48 Anamaliza kidato cha 6, wewe una miaka 50 Anajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, wewe una miaka 51 Anamaliza Chuo kikuu 4years, wewe una miaka 55 Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka mzima, wewe una miaka 56 Hapo mtoto hajafeli wala kurudia Vidato. Huyo ndio first born wako hapo tumeasume umempata ukiwa na miaka 30. Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52. ZAENI MAPEMA ACHENI UBISHOO!!!!
 
Mapema ni umri gani? Tuanze na wewe. Kwa mfano umeanza darasa la kwanza ukiwa na miaka 7, ukimaliza darasa la 7 unakuwa na 14. O level ukimaliza unakuwa na 18, A level ukimaliza unakuwa na 20. Ukienda jeshi unakuwa na 21. Chuo ukimaliza unakuwa na 24. Ukiianza kazi jumlisha mauhusiano miaka 3 unakuwa na 27. Hapo ujajumlisha kurudia au kufail.

Unazaaje hapo sasa.
 
Mapema ni umri gani? Tuanze na wewe. Kwa mfano umeanza darasa la kwanza ukiwa na miaka 7, ukimaliza darasa la 7 unakuwa na 14. O level ukimaliza unakuwa na 18, A level ukimaliza unakuwa na 20. Ukienda jeshi unakuwa na 21. Chuo ukimaliza unakuwa na 24. Ukiianza kazi jumlisha mauhusiano miaka 3 unakuwa na 27. Hapo ujajumlisha kurudia au kufail.

Unazaaje hapo sasa.

Yani jamaa mi nlivomsoma ni kwamba ukibalehe tu pachika mtoto wa kike mimba uwe unaweza kumtunza ama lah!!yani ishu ya kutafua stable relationship ile leo unakuwa na huyu miaka kadhaa mmeznguana mnaachana huo muda yeye hajauweka,pia sio kila mtu wa kuzaa nae ni lazima uchague upate mtakae ridhiana!
 
Huyu lazima ni form iv leaver na imani yake ni kuzaa kuijaza dunia haijarishi atasomaje sana sana wanae ni zile skuli zetu za kumuungisha mwalimu kwa kununua ubuyu halafu akimaliza darasa la saba olewa au tafta kazi mwenyewe uwe konda sawa uwe teja sawa uwe bar maid poa ili mradi tafta wajukuu umletee babu.Haya ni mawazo mfu kijana maisha ya babu zako sio ya sasa wala yajayo jiongeze kusoma nyakati
 
Huyu lazima ni form iv leaver na imani yake ni kuzaa kuijaza dunia haijarishi atasomaje sana sana wanae ni zile skuli zetu za kumuungisha mwalimu kwa kununua ubuyu halafu akimaliza darasa la saba olewa au tafta kazi mwenyewe uwe konda sawa uwe teja sawa uwe bar maid poa ili mradi tafta wajukuu umletee babu.Haya ni mawazo mfu kijana maisha ya babu zako sio ya sasa wala yajayo jiongeze kusoma nyakati
Nyie igeni wazungu, fainali uzeeni.
 
Huyu lazima ni form iv leaver na imani yake ni kuzaa kuijaza dunia haijarishi atasomaje sana sana wanae ni zile skuli zetu za kumuungisha mwalimu kwa kununua ubuyu halafu akimaliza darasa la saba olewa au tafta kazi mwenyewe uwe konda sawa uwe teja sawa uwe bar maid poa ili mradi tafta wajukuu umletee babu.Haya ni mawazo mfu kijana maisha ya babu zako sio ya sasa wala yajayo jiongeze kusoma nyakati

Tuna safari ndefu sana kama vichwa vyetu vinawaza hivi, watanzania wengi husoma hizi shule za kawaida unazoziita za wala ubuyu , wewe utakuwa bado uko shule kwa mawazo haya!
 
Mapema ni umri gani? Tuanze na wewe. Kwa mfano umeanza darasa la kwanza ukiwa na miaka 7, ukimaliza darasa la 7 unakuwa na 14. O level ukimaliza unakuwa na 18, A level ukimaliza unakuwa na 20. Ukienda jeshi unakuwa na 21. Chuo ukimaliza unakuwa na 24. Ukiianza kazi jumlisha mauhusiano miaka 3 unakuwa na 27. Hapo ujajumlisha kurudia au kufail.

Unazaaje hapo sasa.

Wewe kama umebaki kupiga punyeto kutwa nzima bora utulie,jamaa kaongea point tupu. Inatakiwa uzae hata ukiwa kidato cha nne kimagumashi. Mie nilipata mtoto nikiwa kidato cha tano tayari nikiwa na mke nyumbani. Tatizo la vijana wa sasa mkiangalia channel za Zuku hasa ile ya Zuku life mnatamani maisha ni hadi pale uwe na Vogue ama Ranger huku ukisahau nchi yako iko full madeni kuanzia A-O. Namshukuru mama alistukia mapema na kunitafutia familia safi nikaenda kuoa. Nachekelea tu muda wote hasa usiku. Mbaya zaidi ni pale utakapomaliza shule na kung'ang'ania uoe msomi mwenye ajira!!! Hilo ginyaginya ndani ya ndoa itakuwa nafuu hata ndoa ya Diamond na Wema kipindi hicho.
 
Duh! Kwahiyo unataka vijana wengine wa copy your life style as an example?


Wewe kama umebaki kupiga punyeto kutwa nzima bora utulie,jamaa kaongea point tupu. Inatakiwa uzae hata ukiwa kidato cha nne kimagumashi. Mie nilipata mtoto nikiwa kidato cha tano tayari nikiwa na mke nyumbani. Tatizo la vijana wa sasa mkiangalia channel za Zuku hasa ile ya Zuku life mnatamani maisha ni hadi pale uwe na Vogue ama Ranger huku ukisahau nchi yako iko full madeni kuanzia A-O. Namshukuru mama alistukia mapema na kunitafutia familia safi nikaenda kuoa. Nachekelea tu muda wote hasa usiku. Mbaya zaidi ni pale utakapomaliza shule na kung'ang'ania uoe msomi mwenye ajira!!! Hilo ginyaginya ndani ya ndoa itakuwa nafuu hata ndoa ya Diamond na Wema kipindi hicho.
 
Duh! Kwahiyo unataka vijana wengine wa copy your life style as an example?

Unauliza jibu!!!? Hivi sasa ni saa 11:09alfajiri ngoja kwanza nilale Shem wako yuko robo tu takutafuta saa mbili asubuhi au ni pm tazikuta sms. sawa sawa?
 
Huyu lazima ni form iv leaver na imani yake ni kuzaa kuijaza dunia haijarishi atasomaje sana sana wanae ni zile skuli zetu za kumuungisha mwalimu kwa kununua ubuyu halafu akimaliza darasa la saba olewa au tafta kazi mwenyewe uwe konda sawa uwe teja sawa uwe bar maid poa ili mradi tafta wajukuu umletee babu.Haya ni mawazo mfu kijana maisha ya babu zako sio ya sasa wala yajayo jiongeze kusoma nyakati

Tuna safari ndefu sana kama vichwa vyetu vinawaza hivi, watanzania wengi husoma hizi shule za kawaida unazoziita za wala ubuyu , wewe utakuwa bado uko shule kwa mawazo haya!
 
Kuzaa si kaz kaz kulea pachkwa mimb kam hun ata ksbiashar mliy chzanae anakuachia mzg hap nd utatambua kwann kuku hakojoi
 
Ahahaaaaaa.
Nilichogundua hapa wengi ni vijana wa hotpot,sasa hili swala la kuoa linawaudhi kweli kweli.
Mdau Anamaanisha japo 26 uwe umeshaoa.
 
Pole hayo ni masaa ya bongo. Dunia kubwa na masaa yanatofautiana usitumie reference ya experience yako ku generalize! PM for what! There is no any offense take it easy! Everybody has the right to live as he/she thinks is best for him/her not as you think!

Unauliza jibu!!!? Hivi sasa ni saa 11:09alfajiri ngoja kwanza nilale Shem wako yuko robo tu takutafuta saa mbili asubuhi au ni pm tazikuta sms. sawa sawa?
 
Ujinga mtupu,unafikiri binadamu tunazaana kama mbwa eeeh?
 
Una hoja... Wapiga wanafunzi na watoto wa mama wanaiepuka.

Zaeni mapema vijana.
 
Wewe kama umebaki kupiga punyeto kutwa nzima bora utulie,jamaa kaongea point tupu. Inatakiwa uzae hata ukiwa kidato cha nne kimagumashi. Mie nilipata mtoto nikiwa kidato cha tano tayari nikiwa na mke nyumbani. Tatizo la vijana wa sasa mkiangalia channel za Zuku hasa ile ya Zuku life mnatamani maisha ni hadi pale uwe na Vogue ama Ranger huku ukisahau nchi yako iko full madeni kuanzia A-O. Namshukuru mama alistukia mapema na kunitafutia familia safi nikaenda kuoa. Nachekelea tu muda wote hasa usiku. Mbaya zaidi ni pale utakapomaliza shule na kung'ang'ania uoe msomi mwenye ajira!!! Hilo ginyaginya ndani ya ndoa itakuwa nafuu hata ndoa ya Diamond na Wema kipindi hicho.

We kambagasa huna tofauti na jogoo. Jogoo nae ni baba, anazaa tena watoto wengi. Jogoo anatongoza, jogoo anahonga, Ila alei. Unawezaje kuwa baba wakati huwezi kununua hata nepi? Ulivyokuwa bw.ege unasema mama akakutafutia familia safi ukaenda kuoa! Yani umetafutiwa mke, umesaidiwa kulea watoto na mama yako. Utakuwaje na uchungu na mtoto wakati huna unachogharamia?

Baba gani asiyeweza kulea/kutunza watoto wake. Wewe mi m1 wao. Mwisho, kama ungekuwa mwanamke ungezaa ukiwa na umri gani?
 
Last edited by a moderator:
We kambagasa huna tofauti na jogoo. Jogoo nae ni baba, anazaa tena watoto wengi. Jogoo anatongoza, jogoo anahonga, Ila alei. Unawezaje kuwa baba wakati huwezi kununua hata nepi? Ulivyokuwa bw.ege unasema mama akakutafutia familia safi ukaenda kuoa! Yani umetafutiwa mke, umesaidiwa kulea watoto na mama yako. Utakuwaje na uchungu na mtoto wakati huna unachogharamia?

Baba gani asiyeweza kulea/kutunza watoto wake. Wewe mi m1 wao. Mwisho, kama ungekuwa mwanamke ungezaa ukiwa na umri gani?

Pointi Tupu chief! Kaletewa Mke Na Kutolewa Mahari Huyu jamaa
 
Last edited by a moderator:
Pole hayo ni masaa ya bongo. Dunia kubwa na masaa yanatofautiana usitumie reference ya experience yako ku generalize! PM for what! There is no any offense take it easy! Everybody has the right to live as he/she thinks is best for him/her not as you think!

Hata ungeandika kiswahili tungekuelewa tu. Endelea kusugua gaga na habari ndiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom