Hii sio shidaMitaji wa njia za porini au
Uifutaje?! 😀Kwahiyo Leo tuifute?
Kafulila alikurupuka tu ,Adani ni tapeli muda mrefu ana misururu ya skendo chafu kama manipulation na forgery kwenye masoko ya hisa huko kwao Asia ,tena hii pia ni mwaka huu huuNdiyo maana nikasema hakufanya vetting nzuri. Kama angefanya asingekurupuka na Adan.
Kusinge kuwa na Sheria za rushwa na utakatishaji pesaHii sio shida
Zezeta ni wewe na MboweKafulila alikurupuka tu ,Adani ni tapeli muda mrefu ana misururu ya skendo chafu kama manipulation na forgery kwenye masoko ya hisa huko kwao Asia ,tena hii pia ni mwaka huu huu
Huyo mpuuzi wenu Kafulila mnayemwona kama Think tank wenu nyinyi mbwa wa chama cha mazezeta ccm alifanya due diligence ipi ,wakati huyu Adani hizi tangia mwaka jana zinavuma tu skendo chafu hata kwenye vyombo vya habari duniani ?
Mpaka sisi laymen kwenye masuala ya investment tunajua haya ?
Sisi tunataka kazi sio porojo za ooh katoa rushwaAdani ni syndicate ya rushwa na Shady deals
Kama Kenya wamefuta mikataba yake na kuna ushahidi pasipo shaka kuwa Adani aliwahonga viongozi wa Kenya, je kuna sababu ya kutoamini kuwa kuna viongozi Tanzania waliohongwa na Adani?Huyu nyani mkongwe hasikii wala haoni analamba asali!
Adani hana Mkataba wa PPP na TANZANIAKama Kenya wamefuta mikataba yake na kuna ushahidi pasipo shaka kuwa Adani aliwahonga viongozi wa Kenya, je kuna sababu ya kutoamini kuwa kuna viongozi Tanzania waliohongwa na Adani?
Hiyo mikataba ya PPP ya Adani group iwekwe wazi tujue waliohusika kupitisha hiyo mikataba!
Watu waliokushika athari za rushwa kwa ustawi wa jamii ndio wanafanya mzaha na rushwa za Adani kwa wakina Kafulila!
Adan ni gunia la chawa halibebekiHii si kawaida yake mtendaji mkuu huyu wa PPP kuwa kimya hasa pale anapoona umma wa Watanzania unahitaji majibu juu ya hoja yoyote ya PPP.
Kwa historia yake Kafulila ni kijana anayechukia sana rushwa na Ufisadi tangu utoto wake naamini hili kila Mtanzania atakubaliana nami.
Lakini tangu billionaire la Kihindi likutwe na hatia ya kutoa rushwa ili kupambania tenda huko Marekani jamaa huyu amekuwa kimya sana, kulikoni?
Mtakumbuka Billionaire hili la Kihindi tayari lilishaonesha nia ya kuwekeza zaidi nchi Tanzania hasa kwenye Umeme wa jua pamoja na kujenga msongo wa umeme.
Wenzetu Kenya tayari wamemfurusha Bwana Adani Gautam,
"Sisi Tanzania tuko Upande gani?"
Kafulila usijifiche njoo utuambie Adani bado anazo sifa za kuendelea kuwekeza Tanzania?
Je, kwenye hii vita ya Adani na Marekani na Tanzania tumo au au laa.
Kafulila njoo utuambie usikwepe.
Pia soma: David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia
Huo mkataba wa Bandarini na huo wa kujenga Transmission lines za Tanesco alisaini na nani? Yote ni mikataba ya Samia!! Mama corrupt sana huo ushungi anavaa geresha tu!Adani hana Mkataba wa PPP na TANZANIA