Kwani alijua kuhusu hizi kashfa kabla?Muha huyu hajui kufanya vetting ya wawekezaji, ndiyo maana alikurupuka kwa Adan.
hii mitego mingine ni hatari sana aise dah 🤣Tunasubiri tujue ni yeye yule au huyu ni mwingine
Ndiyo maana nikasema hakufanya vetting nzuri. Kama angefanya asingekurupuka na Adan.Kwani alijua kuhusu hizi kashfa kabla?
Adani ni balaa Mzeehii mitego mingine ni hatari sana aise dah 🤣
Kwa mfano ungekuwa ni wewe ungetumia njia gani kufanya hiyo VettingNdiyo maana nikasema hakufanya vetting nzuri. Kama angefanya asingekurupuka na Adan.
Baada ya wao kuonesha interest ningewakabidhin FBI, CIA na interpol wafanye uchunguzi kwanza ndipo niruke hewani na jina la AdanKwa mfano ungekuwa ni wewe ungetumia njia gani kufanya hiyo Vetting
Daaah kwa gharama ya nani mkuu?Baada ya wao kuonesha interest ningewakabidhin FBI, CIA na interpol wafanye uchunguzi kwanza ndipo niruke hewani na jina la Adan
mbona ni issue ndogo mno gentleman, balaa lake liko wapi 🐒Adani ni balaa Mzee
mbona ni issue ndogo mno gentleman, balaa lake liko wapi 🐒
Mara ya mwisho ameonekana Clouds Tv akipiga fixSio kawaida yake Mtendaji Mkuu huyu wa PPP kuwa kimya hasa pale anapoona umma unahitaji majibu juu ya hoja yoyote ya PPP.
Kwa historia Kafulila ni kijana anayechukia sana rushwa na Ufisadi tangu utoto wake.
Lakini tangu billionaire la Kihindi likutwe na hatia ya kutoa rushwa ili kupambania tenda huko Marekani jamaa amekuwa kimya sana,
Mtakumbuka Billionaire hili la Kihindi tayari lilishaonesha nia ya kuwekeza zaidi nchi Tanzania hasa kwenye Umeme wa jua pamoja na kujenga msongo wa umeme.
Wenzetu Kenya tayari wamemfurasha Bwana Adani,
Sisi Tanzania tuko Upande gani?
Kafulila usijifiche njoo utuambie Adani bado anazo sifa za kuendelea kuwekeza Tanzania?
Je, kwenye hii vita ya Adani na Marekani na sisi tumo au hatumo Kafulila njoo utuambie.
Pia soma David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia
Sasa Mnataka ufafanuzi gani wabongo?
Mambo ya Adani na Marekani yanawahusu?
Halafu Adani kwani keshapewa huo mradi?
Adani sifa anayopoteza ni Uaminifu kwenye kupata kazi ila sio kwenye kufanya kazi.
Sioni tatizo la huyu muhindi
Utakua ndio Two 2, mwenyewe wewe.
Serikali hii hii. Kama kuna hela za magoli ya Simba na Yanga, pamoja na milioni 700 za taifa stars, milioni 150 za kumpatia Askofu Shoo, milioni 400 za kununua gari la zawadi ya shekhe, n.k zitakosekana hela za kufanyia uchunguzi wa jambo jema kama hili?Daaah kwa gharama ya nani mkuu?
Nakubaliana na wewe kwa 100%Binafsi hata nisipomuona tena kwenye Udalali well and good nachoomba ni vyombo husika vifanye utafiti kama itaonekana kuna Rupia yoyote ilipenyezwa kwenda kwake basi awekwe mbali na mali za UMMA
![]()
Follow the Money; Baada ya Shutuma za ADANI kutoa Rushwa, Tuwachunguze Madalali waliowapigia Chapuo kama walipewa chochote wakae mbali na mali za UMMA
Kuna mambo wengi tuliyaona hususan katika suala la Umeme, kuna nchi kama Bangladesh baada ya ADANI kwenda bei za Umeme zikaongezeka.... https://www.jamiiforums.com/threads/how-questionable-adani-deal-makes-electricity-costlier-bangladesh-case-study.2267500/ Na sio hivyo tu hata Kenya ni kwamba...www.jamiiforums.com
Tatizo lako hujui kuwa michezo ni UchumiSerikali hii hii. Kama kuna hela za magoli ya Simba na Yanga, pamoja na milioni 700 za taifa stars, milioni 150 za kumpatia Askofu Shoo, milioni 400 za kununua gari la zawadi ya shekhe, n.k zitakosekana hela za kufanyia uchunguzi wa jambo jema kama hili?
Askofu Shoo kumbe na yeye kapata kijiko cha Asali ?Serikali hii hii. Kama kuna hela za magoli ya Simba na Yanga, pamoja na milioni 700 za taifa stars, milioni 150 za kumpatia Askofu Shoo, milioni 400 za kununua gari la zawadi ya shekhe, n.k zitakosekana hela za kufanyia uchunguzi wa jambo jema kama hili?

