Yuwapi David Kafulila wa Adani?

Yuwapi David Kafulila wa Adani?

Kuzuia rushwa au upendeleo kwenye tendering hata hayo mataifa yenye civil services imara mpaka leo hawajaweza dhibiti.

Huyo Adani ukipekuwa hadi kupata makash-makash utakuta ni wivu tu. Tena kwa nchi kama US yenye ushindani si ajabu tender zake ni value for money (mengine siasa tu).

Shida yetu sisi huyo-huyo Adani kwa sababu hatuna committed visions (ilimaradi, liende) na kwa sababu hatuna uwezo wa kuendeleza jambo fulani.

Kutokana na njaa zetu na kutokuwa na visions hawa watu wanakuja na offers za hovyo, halafu sisi wenyewe hatuna akili ya kuona madhara yake ya kupoteza kipato na impact zake kwenye national strategy.

Shida inaanza kuweka watu wasio na sifa kwenye technical post, Kafulila ana qualification gani ya kuongelea mambo yenye investment yenye tija kwa taifa zaidi ya ujinga na uchawa.

Kabisa wewe na akili zako timamu na kama unataka value for money unaweza sikiliza upuuzi wa mtu ambae hana uelewa wa maswala ya finance kama negotiator wako wa wakezaji, kisa either yeye mwenyewe ana mi ID luluki ya kujibu ujinga wake humu au kuna mataahira anayoyapa hela ya chai kuja kuandika ujinga humu.

You must be very stupid, kumuachia mtu kama Kafulila kukuamualia thamani ya miradi kwa nchi kwa upana wake.

Very stupid kama Kafulila ndio mshauri wako, very very stupid

Like serious very stupid
Umeandika ujinga mwingi

Nadhani hujui kuwa PPP inabodi ya wazee wabobevu kwenye mambo ya Uchumi na uwekezaji,

Lakini Dunia ya Leo kwenye maeneo muhimu kama PPP lazima kupata mtu Royal sana Kwa nchi yake.

Kafulila anaweza asiwe mbobevu sana ila anasifa moja kubwa ni Mzalendo sana Kwa nchi yake.

Otherwise naona chuki kwako binafsi kuhusu Kafulila,

Sina ukaribu na Kafulila ila ninamwini ni mtu mwadilifu sana.
 
Tayari nimeshaiona ID yake hapo juu ameshajibu akiongozwa na chawa wake.
 
Umeandika ujinga mwingi
Kafulila hana uwezo wa kudadavua investment appraisal wenye tija kwa taifa.

Hayo mambo sio rahisi kama mnavyojadili kwa faida ya taifa,

Yaani hana huo uwezo hata kidogo,

Umahiri wa kuwa chawa, usiwafanye kuwapa watu sensitive posts,

Huo uwezo wa kuishauri serikali investment zenye tija hata za PPP technicality hizo Kafulila hana, hana na hana.

Sasa ujinga ni kujiaminisha uwa anaongea vitu vya msingi wakati huo uwezo hana.

Nchi aziendeshwi kijinga, lazima mjue mipaka ya chawa; Kafulila hana uwezo wa kufanya investment appraisals yenye tija kwa taifa. Huo uwezo hana.
 
Kafulila hana uwezo wa kudadavua investment appraisal wenye tija kwa taifa.

Hayo mambo sio rahisi kama mnavyojadili kwa faida ya taifa,

Yaani hana huo uwezo hata kidogo,

Umahiri wa kuwa chawa, usiwafanye kuwapa watu sensitive posts,

Huo uwezo wa kuishauri serikali investment zenye tija hata za PPP technicality hizo Kafulila hana, hana na hana.

Sasa ujinga ni kujiaminisha uwa anaongea vitu vya msingi wakati huo uwezo hana.

Nchi aziendeshwi kijinga, lazima mjue mipaka ya chawa; Kafulila hana uwezo wa kufanya investment appraisals yenye tija kwa taifa. Huo uwezo hana.
Nadhani Kuna vitu vingi huvijui ila PPP ni an entinty institution, Kuna bodi pale Ina vichwa balaa
 
Sio kawaida yake Mtendaji Mkuu huyu wa PPP kuwa kimya hasa pale anapoona umma unahitaji majibu juu ya hoja yoyote ya PPP.

Kwa historia Kafulila ni kijana anayechukia sana rushwa na Ufisadi tangu utoto wake.

Lakini tangu billionaire la Kihindi likutwe na hatia ya kutoa rushwa ili kupambania tenda huko Marekani jamaa amekuwa kimya sana,

Mtakumbuka Billionaire hili la Kihindi tayari lilishaonesha nia ya kuwekeza zaidi nchi Tanzania hasa kwenye Umeme wa jua pamoja na kujenga msongo wa umeme.

Wenzetu Kenya tayari wamemfurasha Bwana Adani,

Sisi Tanzania tuko Upande gani?

Kafulila usijifiche njoo utuambie Adani bado anazo sifa za kuendelea kuwekeza Tanzania?

Je, kwenye hii vita ya Adani na Marekani na sisi tumo au hatumo Kafulila njoo utuambie.


Pia soma David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia
Atakuwa haamini macho yake😆😆
 
Adani ana Allegations nyingi sana, Ruto mwenyewe juzi amemfurusha kwenye Investment za Kentraco na Airport kule alikuwa amesha secure tender, Totalenergies nao wame suspend Deal na Adani until further notice
 
Nadhani Kuna vitu vingi huvijui ila PPP ni an entinty institution, Kuna bodi pale Ina vichwa balaa
Wewe na Kafulila akili żenu sawa, hizo tsh 3.3 trillion unadhani utazilipa kutoka hewani.

Ni kwa bahati financial statement ya TANESCO kwenye simu yangu aitaki kufunguka kwa sasa nikuonyeshe upuuzi ulipo financially. Iła hiyo hela inaenda wapa shida sana.

Tsh 3.3 ni uwekezaji tu, bado interest za mwekezaji kulipa deni na faida; inaenda kuwapa shirika ongezeko la bei kwa wateja ambalo litakuwa shida kwao. Na Ambani hana utani waulize Bangladesh ujalipa hela yake anakata umeme. Kama unazalisha wewe asambazi.

Hiyo ni story fupi tu, ni hivi; let’s get to real world kuna namna nyingi za kuwazawadia machawa sio kwa sababu mtu anaandika ujinga wa kupamba kuhusu maswala ya uchumi na biashara ina maana ana utaalamu wa technicalities za hayo mambo.

Kafulila nitty gritties za biashara, uwekezaji na uchumi hana na ata kidogo zaidi ya ujinga wa kichawa.

Sasa madhara ya kusikiliza upuuzi wake nchi italipa gharama kubwa sana huko mbele kwa upuuzi anao promote yeye, either kwa akili zake binafsi au kwa kutumiwa na mafisadi yanayopokea rushwa nyuma ya pazia.

Lakini Kafulila hana technical knowledge ya kuishauri nchi kuhusu uwekezaji, nchi inaendekeza ujinga sana na wenye madhara makubwa mbeleni. Serikali ni (going concern) ukitoka wewe baada ya maamuzi ya kijinga unayofanya leo wenzako wataishi na madhara ujinga wako unayowatengenezea leo kwa tamaa zako huku wamebanwa kisheria kuchomoka.

Get real Kafulila hana knowledge ya maswala ya kudadavua investment, ni chawa mzuri tu wa Samia.
 
Adani ana Allegations nyingi sana, Ruto mwenyewe juzi amemfurusha kwenye Investment za Kentraco na Airport kule alikuwa amesha secure tender, Totalenergies nao wame suspend Deal na Adani until further notice
Kentraco na Airport hakuwa na mkataba wowote Ruto kapiga Siasa tu

Ponjoro ana mkataba kwenye Bima ya Afya SHA huko hadi Gachagua mwenyewe anaogopa kusema chochote 😂😂
 
Wewe na Kafulila akili żenu sawa, hizo tsh 3.3 trillion unadhani utazilipa kutoka hewani.

Ni kwa bahati financial statement ya TANESCO kwenye simu yangu aitaki kufunguka kwa sasa nikuonyeshe upuuzi ulipo financially. Iła hiyo hela inaenda wapa shida sana.

Tsh 3.3 ni uwekezaji tu, bado interest za mwekezaji kulipa deni na faida; inaenda kuwapa shirika ongezeko la bei kwa wateja ambalo litakuwa shida kwao. Na Ambani hana utani waulize Bangladesh ujalipa hela yake anakata umeme. Kama unazalisha wewe asambazi.

Hiyo ni story fupi tu, ni hivi; let’s get to real world kuna namna nyingi za kuwazawadia machawa sio kwa sababu mtu anaandika ujinga wa kupamba kuhusu maswala ya uchumi na biashara ina maana ana utaalamu wa technicalities za hayo mambo.

Kafulila nitty gritties za biashara, uwekezaji na uchumi hana na ata kidogo zaidi ya ujinga wa kichawa.

Sasa madhara ya kusikiliza upuuzi wake nchi italipa gharama kubwa sana huko mbele kwa upuuzi anao promote yeye, either kwa akili zake binafsi au kwa kutumiwa na mafisadi yanayopokea rushwa nyuma ya pazia.

Lakini Kafulila hana technical knowledge ya kuishauri nchi kuhusu uwekezaji, nchi inaendekeza ujinga sana na wenye madhara makubwa mbeleni. Serikali ni (going concern) ukitoka wewe baada ya maamuzi ya kijinga unayofanya leo wenzako wataishi na madhara ujinga wako unayowatengenezea leo kwa tamaa zako huku wamebanwa kisheria kuchomoka.

Get real Kafulila hana knowledge ya maswala ya kudadavua investment, ni chawa mzuri tu wa Samia.
Unaifahamu vizuri Elimu ya Kafulila?

Nataka uangalie mradi mmoja tu alioanza nao wa Kariakoo DDC,

Unasemaje Kafulila hana technical knowledge kwenye economics

Nadhani nirudie wewe unashida binafsi na Kafulila lakini ever since Kafulila ameingia PPP ndio hasa tumekuwa na vibration kwenye Ubia.

Rethink with Free mind Kafulila ni asset pale PPPP
 
Unaifahamu vizuri Elimu ya Kafulila?

Nataka uangalie mradi mmoja tu alioanza nao wa Kariakoo DDC,

Unasemaje Kafulila hana technical knowledge kwenye economics

Nadhani nirudie wewe unashida binafsi na Kafulila lakini ever since Kafulila ameingia PPP ndio hasa tumekuwa na vibration kwenye Ubia.

Rethink with Free mind Kafulila ni asset pale PPPP
Sencirely sikuwahi kuifahamu PPP kabala ya huyu bwana
 
Umeandika ujinga mwingi

Nadhani hujui kuwa PPP inabodi ya wazee wabobevu kwenye mambo ya Uchumi na uwekezaji,

Lakini Dunia ya Leo kwenye maeneo muhimu kama PPP lazima kupata mtu Royal sana Kwa nchi yake.

Kafulila anaweza asiwe mbobevu sana ila anasifa moja kubwa ni Mzalendo sana Kwa nchi yake.

Otherwise naona chuki kwako binafsi kuhusu Kafulila,

Sina ukaribu na Kafulila ila ninamwini ni mtu mwadilifu sana.
Royal !!!????

Angekuwa Royal nadhani hawa Adani wangekuja mlangoni tu angewafukuza kwa kasi ya ajabu..., Yaani katika issue ya umeme hata kabla ya shutuma za mlungula kila mwenye macho aliweza kuona mambo hayapo sawa..., Huitaji kuwa Kuku kugundua kwamba yai ni Viza..., Na siamini yeye ni kipofu au mbumbumbu kiasi hiki all I can think ni kwamba ni msaliti (tena ukizingatia nchi iliyoshawahi kupigwa na kina Dowans kuona mwingine anataka kuturudisha huko ni jambo la kusikitisha)




In short hizo articles mbili za mwanzo ni well known news unahitaji kuwe na bundle ya jero tu na kuelewa search engine ni nini kuweza kufanya due dilligence what has happened to others kabla haujaingiza taifa lako kwa mkenge (ningependa kujua what amount is enough kuweza kufanya uhaini wa namna hio)
 
Royal !!!????

Angekuwa Royal nadhani hawa Adani wangekuja mlangoni tu angewafukuza kwa kasi ya ajabu..., Yaani katika issue ya umeme hata kabla ya shutuma za mlungula kila mwenye macho aliweza kuona mambo hayapo sawa..., Huitaji kuwa Kuku kugundua kwamba yai ni Viza..., Na siamini yeye ni kipofu au mbumbumbu kiasi hiki all I can think ni kwamba ni msaliti (tena ukizingatia nchi iliyoshawahi kupigwa na kina Dowans kuona mwingine anataka kuturudisha huko ni jambo la kusikitisha)




In short hizo articles mbili za mwanzo ni well known news unahitaji kuwe na bundle ya jero tu na kuelewa search engine ni nini kuweza kufanya due dilligence what has happened to others kabla haujaingiza taifa lako kwa mkenge (ningependa kujua what amount is enough kuweza kufanya uhaini wa namna hio)
Hakuna kampuni ya Malaika naomba ufahamu hili kwanza,
Pili, Mkataba ndio mwongozo wa kila kitu hata kama Private ni jambazi sugu mkataba utaondoa hayo yote.
 
Hakuna kampuni ya Malaika naomba ufahamu hili kwanza,
Acha kutetea upuuzi hakuna kitu muhimu kama Nishati katika nchi..., ukikosea hapo ni kwamba gharama za umeme zinakuwa za juu, umeme ukiwa juu kila uzalishaji unakuwa juu, uzalishaji ukiwa juu na bei zinakuwa juu...,

Tupo katika kipindi cha Nishati safi ya Kupikia ambapo watu walisema tumalize Bwawa umeme ushuke (matokeo yake wakati tunahangaika kumaliza Bwawa hatukumtafuta Adani leo tunaelekea kwenye double capacity mpuuzi mmoja wewe unayemuita loyal (labda loyal kwa majizi na wanyonyaji) analeta story za kampuni ambayo ukiangalia track record imeshaharibu huko Bangladesh kwa kufanya Umeme upande bei na huko Kenya ungepanda bei wangebaki (ingawa na wakivunja mkataba huenda wakamlipa pia)...

Kwahio ni mawili huenda sio muelewa na kipofu na zezeta asiyeweza kufanya due dilligence au ni dalali asiyejali maslahi ya nchi bali tumbo na njaa yake (choose one)
Pili, Mkataba ndio mwongozo wa kila kitu hata kama Private ni jambazi sugu mkataba utaondoa hayo yote.
Hivi kweli unaongelea unachokiamini au unaelewa unachokiongea ? Kwahio kina Dowans walikuwa hawana mikataba ?
 
Kwani muhindi hahitaji mtaji?
Mhindi anawasili na briefcase yake tu mtaji anaukuta hapo kwenu.

Anasaini mkataba kwa rasilimali zenu, anaagiza mkopo wa mabilioni toka mabenki ya ndani na nje kwa hiyo collateral, na kuamua ngapi ziingie kwenye uwekezaji, ngapi mafisi wa kitaa walambishwe na ngapi zibakizwe kwa siku za mvua!

Msipojua kusimamia rasilimali zenu mnapigwa vizuri tu. Watch the Adani swagger in town.
 
Unaifahamu vizuri Elimu ya Kafulila?

Nataka uangalie mradi mmoja tu alioanza nao wa Kariakoo DDC,

Unasemaje Kafulila hana technical knowledge kwenye economics

Nadhani nirudie wewe unashida binafsi na Kafulila lakini ever since Kafulila ameingia PPP ndio hasa tumekuwa na vibration kwenye Ubia.

Rethink with Free mind Kafulila ni asset pale PPPP
PPP Injini yake ilikuwa Lau Mafuru 😃😃😃 acheni utoto kwenye mambo serious
 
Back
Top Bottom