Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,694
- 5,466
Azam fc wameamua msimu ujao kufanya makubwa kwenye mashindano yote watakayo shiriki.
Baada ya kupata sain ya mchezaji nyota Feisal, sasa mmiliki wa azam fc tajiri yusuph bakhresa matamanio yake yameamia kwa nyota wawili wa Yanga sc, Mayele pamoja na diara.
Tajiri huyo ameapa kuwa iwe iwavyo nyota hao watatua azam fc dirisha hili la usajili.
Baada ya kupata sain ya mchezaji nyota Feisal, sasa mmiliki wa azam fc tajiri yusuph bakhresa matamanio yake yameamia kwa nyota wawili wa Yanga sc, Mayele pamoja na diara.
Tajiri huyo ameapa kuwa iwe iwavyo nyota hao watatua azam fc dirisha hili la usajili.