Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,625
- 29,891
Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana?
Hatumwoni akiwananga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
Hatumwoni akiwananga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?