BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Udirector wa hii movie inaelekea allipewa Mwigulu bila shaka machale yakamcheza kwa kukumbuka lile sakata lake la movie nyingine kuhusu ugaidi wa Lwakatare jinsi ilivyopigwa vita na Watanzania walio wengi na mahakama pia kuipiga chini zaidi ya mara moja (Ushahidi utaokubalika hadi mbinguni). Ndiyo sababu labda mwenye Wizara husika ya kushughulikia mambo ya ndani amekuwa kimya mnooo na kaibuka Director mwingine ili ajitengenezee umaarufu na labda kupata Oscar nomination. KULIKONI kimya cha Mwigulu kwenye sakata hili!?
CC: MANI, Chakaza, Elli, Salary Slip, Mag3, nguruvi
CC: MANI, Chakaza, Elli, Salary Slip, Mag3, nguruvi
Hili picha sasa
Kama Rambo vile