Yusuf Bakari abaka kuku

halafu kesho unakuja kulalama kuna udini wakati uppuzi wako huu ni tatizo kwanchi

this is when silly minds run the brains

umechemka sana aisee, it is a shame, really shame hata ugonjwa wa akili kuuingiza na udini

hata mm namshangaa sana huyu!sijui amesahau ile kashfa ya ushoga na kulawiti vitoto vidogo inayowakabili viongoz wake!!
 

Mkuu mbona unaongea kama mzoefu vile kwenye aka kaidara?
 
dalili za mwisho wa dunia. .huyo apimwe kwanza akili kama zko sawa basi apimwe homon pengine ana homon za jogoo!
 
Mkuu mbona unaongea kama mzoefu vile kwenye aka kaidara?


This is simple biology, yaani biology 101. It is written na iko in the books for all to read. Kwa hiyo utaalam wangu ni huo tu mkuu. Mbona una mashaka?
 
Kasomea pcb huyo na aliwahi kuwa mwenyekiti wa chawaputa at the time yuko tabora boys
 
Inzi? Duh! Sasa kwa mdudu Inzi inakuaje?

Huo mshtuko bila shaka umehisi aina hii ya watu wanaweza kuhamishia uchu wao hadi kwa wadudu nzi...
 
Mumsamehe bure, huenda alivutiwa na mwendo WA maringo WA miss kuku.
Mshikaji mmoja mwenye jina hilo amekamatwa kwa kubaka kuku na kuisababishia maumivu makali. Jamani hivi mademu wamekwisha. Huyu jamaa lazima apimwe akili.
Source TBC1: gazeti la jambo leo
 

daaaaah!!
dungadunga kakosa nauli
ikabidi akabambie kuku,afungwe maisha
kwa kumsababishia kuku maumivu makalia lolz!!

sasa sijui kipimo cha maumivu kitakuaje,aisee mmh hapana!
 
sasa sijui kipimo cha maumivu kitakuaje,aisee mmh hapana!

ndio maana unaambiwa
dunia ya leo ukikutana na simba
haina haja ya kukimbia,binadamu
ndio wa kukimbia coz tumekua zaidi ya simba!!
 
halafu kesho unakuja kulalama kuna udini wakati uppuzi wako huu ni tatizo kwanchi

this is when silly minds run the brains

umechemka sana aisee, it is a shame, really shame hata ugonjwa wa akili kuuingiza na udini

Khee, kasema his NAME and not his RELIGION bana...!!!!
 
nashindwa kuamini.nikifikiria maumbile ya kuku na binadamu,nafikiri thereis a little exaggeration in the stories
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…