Mizengo Pinda ni mtoto wa mkulima kweliAnafuga na samaki zuzu
pambaffff uimara gani idarani wakati kipindi cha 95-2005 ilikuwa kipindi cha wiz uliojificha na uliotukuka? sasa HIV idara IPO IPO tu full kuteka Na mahigambo huku bombardier zimepigwa pini. idara gani imeshindwa kumshauli mkulu ni full mikurupuko. makinikia, faru john, tetemeko kagera, kuzima tunings Na kutishia jf Na magazeti?? idarani ovyooo tuHuo udhaifu wake mmoja tu wa Kibinadamu hauondoi ukweli kwamba Yeye pamoja na Wenzake wa Kipindi hicho ndiyo walikuwa na Uweledi na Uzalendo wa kweli katika Utendaji wao wa Kinjagu na kusema kweli wameacha alama moja kubwa sana Idarani ambayo ilikuja kuharibiwa hasa kuanzia miaka ya 2005 hadi 2015 japo sasa hivi Idara inaanza tena kurejesha ule ule Ubora wake ambao Wahenga Sisi tuliobahatika kuwepo Kitambo hicho tuliona na kushuhudia.
Kwani Tanesco Mali yake?Nadhani sina hakika labda Kitendo cha kuvunjwa kwa jingo la Tanesco kimemudhi sana kiac ameamua kukaa kinya
Bila shakaSiku zote Watu waliopitia Unjagu wa Eagle Wing House Makao Makuu Oysterbay hata kama walikuwa na Vyeo vya Kitaifa nchini huwa hawana makeke na mashauzi. Katika zile cream bora kabisa zilizopikwa na Wakorea, Waisraeli, Wabulgaria na Waingereza Kinjagu MKPP ni mmoja wapo na kiukweli ametukuka na anaitendea haki kabisa Fani yake hiyo.
Dr kipilimbi kumbe kaja na mikakati mipyaHuo udhaifu wake mmoja tu wa Kibinadamu hauondoi ukweli kwamba Yeye pamoja na Wenzake wa Kipindi hicho ndiyo walikuwa na Uweledi na Uzalendo wa kweli katika Utendaji wao wa Kinjagu na kusema kweli wameacha alama moja kubwa sana Idarani ambayo ilikuja kuharibiwa hasa kuanzia miaka ya 2005 hadi 2015 japo sasa hivi Idara inaanza tena kurejesha ule ule Ubora wake ambao Wahenga Sisi tuliobahatika kuwepo Kitambo hicho tuliona na kushuhudia.
pambaffff uimara gani idarani wakati kipindi cha 95-2005 ilikuwa kipindi cha wiz uliojificha na uliotukuka? sasa HIV idara IPO IPO tu full kuteka Na mahigambo huku bombardier zimepigwa pini. idara gani imeshindwa kumshauli mkulu ni full mikurupuko. makinikia, faru john, tetemeko kagera, kuzima tunings Na kutishia jf Na magazeti?? idarani ovyooo tu
Dr kipilimbi kumbe kaja na mikakati mipya
Hili ndiko jibu murua kabisa. Alipitia jando la kutosha kabisa na KUNYWA maji ya bendera. Ila yuko vizuri anafanya exports kadhaa za MAZAO na bora kabisa ni asali.Siku zote Watu waliopitia Unjagu wa Eagle Wing House Makao Makuu Oysterbay hata kama walikuwa na Vyeo vya Kitaifa nchini huwa hawana makeke na mashauzi. Katika zile cream bora kabisa zilizopikwa na Wakorea, Waisraeli, Wabulgaria na Waingereza Kinjagu MKPP ni mmoja wapo na kiukweli ametukuka na anaitendea haki kabisa Fani yake hiyo.
Nilivyosikiaga habari za shamba la huyu mzee niliwaskitikia sana wagogo,kweli mwenye nacho ataongezewa.Haya mazao yana soko la kutosha mkoani Dodoma?
alilipigania lisivunjweKwani Tanesco Mali yake?
Nasikia anafuga Nyuki huko KibaoniMzee wa watu hapendi kiki..
Alitangaza kustafu siasa na kweli amestafu na yuko anafanya shughuri zake
Mikakati toka zamani ilikuwepo ila hakuwepo acting president .Hata huyu kapilimba angekuwa DG awamu iliyopita hiyo mikakati usingeiona.Dr kipilimbi kumbe kaja na mikakati mipya