Yupo wapi Wassira, yupo wapi Muhongo?

Yupo wapi Wassira, yupo wapi Muhongo?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,273
Wana jamvi nimejaribu kufuatilia wanasiasa wetu waliotamba sana kwenye awamu ya Rais Kikwete na kati yao nimeona tuwajadili hawa miamba.

Wasira alijitapa kuiangamiza CHADEMA kabla ya mwaka 2014 tena kwa kiapo lakini leo hii CHADEMA bado ipo na yeye Mzee Tyson hasikiki tena. Pia mzee Muhongo bingwa wa dunia wa miamba aliyekuwa anajivunia kwa kiburi sana juu ya elimu yake hiyo lakini sasa kimya

tapatalk_1582393996686.jpeg
20191001_002206.jpeg


In God we Trust
 
Mmawia,
Mmoja sasa amekuwa ni Strategist wa CCM na mwingine amejikita zaidi Kuliendeleza Jimbo lake ili liwe na Maendeleo zaidi ya lile la Adui yake na Mpinzani wake Mbunge wa Butiama Mheshimiwa Mr. Hand aliyeko huko nchini Marekani sasa.
 
Mmoja sasa amekuwa ni Strategist wa CCM na mwingine amejikita zaidi Kuliendeleza Jimbo lake ili liwe na Maendeleo zaidi lile la Adui yake na Mpinzani wake Mbunge wa Butiama Mheshimiwa Mr. Hand aliyeko huko nchini Marekani sasa.
Nimecheka sana eti mr Hand,!
Nashukuru sana mkuu

In God we Trust
 
Wana jamvi nimejaribu kufuatilia wanasiasa wetu walio tamba sana kwenye awamu ya bwana Kikwete na kati yao ni meona tuwajadili hawa miamba.

Wasira alijitapa kuiangamiza cdm kabla ya mwaka 2014 tena kwa kiapo lkn leo hii cdm bado ipo na yeye mzee Tyson hasikiki tena. Pia mzee Muhongo bingwa wa dunia wa miamba aliye kuwa anajivunia kwa kiburi sana juu ya elimu yake hiyo lkn sasa kimyaaaaa. View attachment 1369187View attachment 1369188

In God we Trust
So what?
 
Ndiyo tatizo letu waswahili yaani nimeuliza alafu nawewe unaniuliza badala ya kutoa jibu!

In God we Trust
Lakini ulivyoandika maana yake una lengo au funzo. kuacha swali bila jibu uniaacha njia panda, ilitakiwa uje na hitimisho au funzo kabisa.
 
Back
Top Bottom