Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Albadir inamtafuna.....

Yeye ndiye "aliyesababisha" kifo cha Akwilina

Bila yeye kujiuzulu na kwenda kumuunga mkono Rais, Akwilina asingekufa

Usicheze na damu ya binti mdogo Akwilina, asiye na hatia aliyeuawa na Polisi siku ile ya tarehe 16/2/2018
Daaa! kweli kabisa kiongozi .kikubwa Mungu yupo na anampa kila mtu haki yake..
 
Malipo hapahapa Duniani !!Mungu yupo japo haonekani
 
Tumuombee kama ni kweli, Mungu ni mwingi wa rehema na atamrehemu na kumsamehe kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…