Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Albadir inamtafuna.....

Yeye ndiye "aliyesababisha" kifo cha Akwilina

Bila yeye kujiuzulu na kwenda kumuunga mkono Rais, Akwilina asingekufa

Usicheze na damu ya binti mdogo Akwilina, asiye na hatia aliyeuawa na Polisi siku ile ya tarehe 16/2/2018
 
Asalaam wote humu ndani,

Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?

Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Yuko kwao Rufiji...wamemficha ...sasa hivi mtulia siyo yule anayemjua sahiv analia peke yake mda mwingine wanamkuta anacheka peke yake ...kaenda kupewa matambiko kwao rufiji.
 
Asalaam wote humu ndani,

Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?

Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Nikupe mfano tu, ulishawahi kutumia kondom?? Tendo la ndoa ni tamu sana, lakini cha ajabu ukishakojolea hiyo kondom hata kuishika unaona kinyaa.


Used Mtulia kinondoni
 
Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
 
Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu


Jamaa yuko rufiji anacheka mwenyewe cheza na damu ya mnyonge.

Hahaha hadi umefungua ID mpya kuja kudanganya umma wakati ndugu yake wa karibu ndie kaleta taarifa lumumba na bado wewe



Swissme
 
Yuko kwao Rufiji...wamemficha ...sasa hivi mtulia siyo yule anayemjua sahiv analia peke yake mda mwingine wanamkuta anacheka peke yake ...kaenda kupewa matambiko kwao rufiji.
😀😀😀😀
 
Nikupe mfano tu, ulishawahi kutumia kondom?? Tendo la ndoa ni tamu sana, lakini cha ajabu ukishakojolea hiyo kondom hata kuishika unaona kinyaa.


Used Mtulia kinondoni
😀😀😀😀
dadeki wallahi!!!!
 
Asalaam wote humu ndani,

Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?

Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Mkuu ataapishwa bunge lijalo la April,uwe mpole
 
Back
Top Bottom