Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Mbaya zaidi nauli ishatumwa, na ya kutolea, na tozo pia.....😁Au waliaidiana watoke wote wkend hii; kwenye mawasiliano akawa hapatikani
Mbaya zaidi nauli ishatumwa, na ya kutolea, na tozo pia.....😁Au waliaidiana watoke wote wkend hii; kwenye mawasiliano akawa hapatikani
Nipo rafiki nipo, ahsante kwa upendo....Jamani huyu mtu kapotea ghafla mwenye taarifa zake mwana familia mwenzetu Jamani!
wanataka uno...Mbaya zaidi nauli ishatumwa, na ya kutolea, na tozo pia.....😁
uzi gani tena huo hebu weka link🤣🤪😜Au ndo yule mdada alieandika uzi wa kulalamika kuliwa kabang mwaka mzima
uzi gani tena huo hebu weka link🤣🤪😜
Ungekuwa unanitafuta na mimi kama unamvyomtafuta Evelyn chumvi ningeringa sana Yupo kuna sehemu nilimuona,tarehe 1/9huu.
Kabadili mwonekano siku hizi ni mwendo wa ushungi na nikabJamani huyu mtu kapotea ghafla mwenye taarifa zake mwana familia mwenzetu Jamani!
Nilisoma vibaya nikaona KAJIFUNGUA...Kajifungia mahali

Ikiwa hivi ni heriNilisoma vibaya nikaona KAJIFUNGUA...![]()
Mbona Kuna Uzi anatongoza kwenda Mwanza akaliwe mgegedo?Jamani huyu mtu kapotea ghafla mwenye taarifa zake mwana familia mwenzetu Jamani!
😂😂😂😂 We jamàa ni mbeaMbona Kuna Uzi anatongoza kwenda Mwanza akaliwe mgegedo?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Baada ya kuliwa tunda kimasihara ameamua kubadili ID. Hata kwenye hii thread yako kakugongea LIKEJamani huyu mtu kapotea ghafla mwenye taarifa zake mwana familia mwenzetu Jamani!
Hivi jmn lile jukwaa letu ndo limeenda mazima au ni mimi tu?Hadi nimecheka, eti nilishinda kwenye uzi wa bilnass 😂😂😂😂😂 jamani!!!
Lipo mbona ni wewe tu ndio haupo kule mzee wa jehanam😁😁😁Hivi jmn lile jukwaa letu ndo limeenda mazima au ni mimi tu?
Lipo mbona ni wewe tu ndio haupo kule mzee wa jehanam![]()
Mambo za ban zmezid jf.. too muchJamani huyu mtu kapotea ghafla mwenye taarifa zake mwana familia mwenzetu Jamani!